GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Laana ya Papa Wemba inamuandama bado..atubu
Hata Papa Wemba nae japo sasa ameshakuwa " mavumbi " lakini nae huko huko laana za Wakongo aliokuwa akiwabebesha " ngada " na kuwafanya " Watumwa " huko Ufaransa na Ubelgiji na kupelekea wengi wao sasa kufungwa nazo hazitamwacha.