Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kufuatia tukio la jana lililonaswa na kamera akimpiga teke mmoja wa madensa wake alioandamana nao kwenye tamasha la muziki, hatimaye Koffi Olomide akamatwa na polisi.
Koffi alikamatwa na polisi nje ya studio za Citizen Tv, na kupelekwa uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta tayari kurudishwa kwao, show yake ilikuwa ifanyike leo jumamosi.
Chanzo.. Citizen
Koffi alikamatwa na polisi nje ya studio za Citizen Tv, na kupelekwa uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta tayari kurudishwa kwao, show yake ilikuwa ifanyike leo jumamosi.
Chanzo.. Citizen