Koffi Olomide ametekeleza matwakwa ya mkataba; wapenzi wa Yanga amkeni

Koffi Olomide ametekeleza matwakwa ya mkataba; wapenzi wa Yanga amkeni

kasenene

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2008
Posts
1,632
Reaction score
2,413
Nimeona kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii MISUKULE wakilalamika kuwa mwanamuziki Koffi OLomide a.k.a Papaa Ngwasuma hakuwatendea haki jana (katika tamasha la wananchi). Kuwasaidia tu ni kwamba Papaa ametekeleza matakwa ya mkataba alioingia na wenye timu yao (GSM). Yeye kama mwanamuziki yoyote maarufu duniani hawezi kufanya shoo ya kipuuzi vile akubali kuwaangusha wapenzi wake kijinga kijinga,bali uwa anakuwa na makubaliano au mikataba ya aina (3) tatu baina yake na waandaaji wa show pale unapotaka kumualika kwenye shughuli yako.

Anakuwa na "package" ya kwanza inayoitwa "premium" hii unamlipa kiasi cha pesa "kilichosimama" na kwamba lazima aje na bend yake yoote na mara zoote inakuwa ni "live perfomnace" (full kapumbu sorry full mukoko na sio chini ya masaa manne). Package ya pili "standard" wanavyoiita wenyewe ni ile anakuja na badhi tu ya wasanii na mara nyingi show inakuwa ya mda mchache saana. Na mwisho ni ile "birthday package" au "sitting room package" ile anaalikwa yeye aje pekee yake bila kifaa chochote saana saana anaweza akaja na warembo wawili watatu wa kukata viuno kidogo kwa ajiri ya shughuli yako na mara nyingi hii ualikwa na watu binafsi kwa ajili ya sherehe mbali mbali kama birthday ,kipaimara na ulipwa kiasi kidogo cha pesa kati ya dola 5,000- 10,000 .Hivyo basi mnaweza mkaamua nyie wenyewe shughuli ya wananchi ilikuwa package ipi

Kikubwa na jambo la msingi kwa wananchi mnatakiwa kuamka mnapigwa saana .Changamoto mliyo nayo kubwa kwenye Club yenu kwa sasa ni kwamba kuna aina mbili za uongozi moja ni wale wanoangalia masilahi yao binafsi kwa kushirikiana na mdhamini wa club kwaajili ya kuuza "merchandise" za club kama jezi ili kujilimbikizia kipato wao, mpira sio kipaumbele kwao na wana hela. Kundi la pili nilile la viongozi maskini wanoapenda mpira lakini hawana pesa na hawa hawana sauti


Angalizo:

  1. Papaa Ngwasuma ameletwa kwa bei ya birthday lakini mlindanganywa mkajaza uwanja.
  2. Waliwaahidi kwamba kutakuwa na "surprise" vipi imeishia wapi? ulikuwa ni mtego wa kuwadanganya na issue ya Luis Miquissone kusudi mjaze uwanja wauze jezi. Hata baada ya juzi kugundulika wapi Luis Miquissone kaenda bado wakaendelea kusimamia utapeli wao kusudi wajaze uwanja
  3. Mwaka jana "waliwapiga changa la macho" vile vile na baada ya kuona wanalemewa uwanjani wakahamishia agenda kwa marefa na TFF na nyie vile hamjiongezi mkahama nao
  4. Leo wameuza jezi kesho watakuja na kwamba ohoo hii mechi ilikuwa ni ya maandalizi tu. wakitolewa na wanigeria mwezi ujao watasema ohoo bado wanajenga timu...wakifungwa ngao ya Hisani na wanaume watasema wao malengo yao ni ubingwa na sio ngao ya hisani ..sasa kwanini msiitwe Misukule kwa akili hizi za kuburuzwa?
  5. Hivi bado manaamin Manara anawafaa wanayanga kutuliza mioyo yenu kwa swala la soka? bado hamuoni tu kaletwa pale kutimiza lengo la GSM kusudi wakauze jezi....
 
Kiukweli.. nilikua napiga stry na rafiki yangu mmoja siku manara anafanya press ya yanga. Nikasema manara ni kichwa fundi na ana upepo wa kuvuta watu. Niliamini atajaza uwanja kwa uwepo wake. Huyu jamaa ananiuna sana kuhama simba.. alikua na hadhi yake pale. Hatuna hiki kitu tena. All in all yanga bado wanaiga hawafanyi, ila MANARA NI MANARA.
 
Kiukweli.. nilikua napiga stry na rafiki yangu mmoja siku manara anafanya press ya yanga. Nikasema manara ni kichwa fundi na ana upepo wa kuvuta watu. Niliamini atajaza uwanja kwa uwepo wake. Huyu jamaa ananiuna sana kuhama simba.. alikua na hadhi yake pale. Hatuna hiki kitu tena. All in all yanga bado wanaiga hawafanyi, ila MANARA NI MANARA.
Kwa hiyo unataka kunambia wale misukule leo wamejaa sababu ya manara, wakati huu ndo muda wao kujifariji miaka yote inajulikana hiyo
 
Kiukweli.. nilikua napiga stry na rafiki yangu mmoja siku manara anafanya press ya yanga. Nikasema manara ni kichwa fundi na ana upepo wa kuvuta watu. Niliamini atajaza uwanja kwa uwepo wake. Huyu jamaa ananiuna sana kuhama simba.. alikua na hadhi yake pale. Hatuna hiki kitu tena. All in all yanga bado wanaiga hawafanyi, ila MANARA NI MANARA.
Yanga unamfurahia manara kwa style yake... Simba wameutoa uchafu kupeleka nje yanga wameichukua kuupeleka ndani.
 
Kiukweli.. nilikua napiga stry na rafiki yangu mmoja siku manara anafanya press ya yanga. Nikasema manara ni kichwa fundi na ana upepo wa kuvuta watu. Niliamini atajaza uwanja kwa uwepo wake. Huyu jamaa ananiuna sana kuhama simba.. alikua na hadhi yake pale. Hatuna hiki kitu tena. All in all yanga bado wanaiga hawafanyi, ila MANARA NI MANARA.
Yes Manara anafanya kazi yake vilivyo...hana la kulaumiwa
 
"Ho ho hoooo" alisikika Manyara akicheka kwenye simu Chooni.
Akatoka huko na kusema "hii ni Kilabu kubwa Afrika Mashariki na kati"
 
Nimeona kwenye mitandao mbali mbali ya kijamii MISUKULE wakilalamika kuwa mwanamuziki Koffi OLomide a.k.a Papaa Ngwasuma hakuwatendea haki leo. Kuwasaidia tu ni kwamba Papaa ametekeleza matakwa ya mkataba alioingia na wenye timu yao (GSM). Yeye kama mwanamuziki yoyote maarufu duniani hawezi kufanya shoo ya kipuuzi vile akubali kuwaangusha wapenzi wake kijinga kijinga,bali uwa anakuwa na makubaliano au mikataba ya aina (3) tatu baina yake na waandaaji wa show pale unapotaka kumualika kwenye shughuli yako.

Anakuwa na "package" ya kwanza inayoitwa "premium" hii unamlipa kiasi cha pesa "kilichosimam" na kwamba lazima aje na bend yake yoote na mara zoote inakuwa ni "live perfomnace" (full kapumbu sorry full mukoko na sio chini ya masaa manne). Package ya pili "standard" wanavyoiita wenyewe ni ile anakuja na badhi tu ya wasanii na mara nyingi show inakuwa ya mda mchache saana. Na mwisho ni ile "birthday package" au "sitting room package" ile anaalikwa yeye aje pekee yake bila kifaa chochote saana saana anaweza akaja na warembo wawili watatu wa kukata viuno kidogo kwa ajiri ya shughuli yako na mara nyingi hii ualikwa na watu binafsi kwa ajili ya sherehe mbali mbali kama birthday ,kipaimara na ulipwa kiasi kidogo cha pesa kati ya dola 5,000- 10,000 .Hivyo basi mnaweza mkaamua nyie wenyewe shughuli ya wananchi ilikuwa package ipi

Kikubwa na jambo la msingi kwa wananchi mnatakiwa kuamka mnapigwa saana .Changamoto mliyo nayo kubwa kwenye Club yenu kwa sasa ni kwamba kuna aina mbili za uongozi moja ni wale wanoangalia masilahi yao binafsi kwa kushirikiana na mdhamini wa club kwaajili ya kuuza "merchandise" za club kama jezi ili kujilimbikizia kipato wao, mpira sio kipaumbele kwao na wana hela. Kundi la pili nilile la viongozi maskini wanoapenda mpira lakini hawana pesa na hawa hawana sauti


Angalizo:

  1. Papaa Ngwasuma ameletwa kwa bei ya birthday lakini mlindanganywa mkajaza uwanja.
  2. Waliwaahidi kwamba kutakuwa na "surprise" vipi imeishia wapi? ulikuwa ni mtego wa kuwadanganya na issue ya Mikisoni kusudi mjaze uwanja wauze jezi. Hata baada ya juzi kugundulika wapi dogo kaenda bado wakaendelea kusimamia utapeli wao kusudi wajaze uwanja
  3. Mwaka jana "waliwapiga changa la macho" vile vile na baada ya kuona wanalemewa uwanjani wakahamishia agenda kwa marefa na TFF na nyie vile hamjiongezi mkahama nao
  4. Leo wameuza jezi kesho watakuja na kwamba ohoo hii mechi ilikuwa ni ya maandalizi tu. wakitolewa na wanigeria mwezi ujao watasema ohoo bado wanajenga timu...wakifungwa ngao ya Hisani na wanaume watasema wao malengo yao ni ubingwa na sio ngao ya hisani ..sasa kwanini msiitwe Misukule kwa akili hizi za kuburuzwa?
  5. Hivi bado manaamin Manara anawafaa wanayanga kutuliza mioyo yenu kwa swala la soka? bado hamuoni tu kaletwa pale kutimiza lengo la GSM kusudi wakauze jezi....
Hii inaitwa kibiashara zaidi kwa hisani ya ujio wa shosti mauno nusu paka nusu swine.
 
Kwani we mama unaongea nini haswa?!! Au ni mmoja kati ya wale madada wanenguaji aliokuja nao koffi?
 
Back
Top Bottom