luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 846
- 1,394
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walioenda vipi huko...?
mkuu mtu akitaka kuinunua hiyo ticket yako ili akale burudani utampiga how much??
Mkuu ASAS ya Iringa au asas za kiserikaliMopao baba Lao. Wengi walio Chukua tiketi NI 35 yrs kupanda Juu.
Huyu akipanda Jukwaani unaona matumizi ya Laki moja yako sio hawa walamba midomo kazi kuruka ruka jukwaani na kuwaambia mashabiki piga keleleeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
HhhhHivi kumbe mimi tu ndio sina hela[emoji134][emoji134][emoji134]
Unachosema ni kweli wasanii wengi kuimba live kama walivyoimba kwenye original song ni mtihani mkubwa. Tofauti na nchi za wenzetu ukimsikiliza Rihanna live na kwenye original song ni kitu kilekileHuyu dingi ninachomkubali ni kuwa anaimba live mwanzo mwisho!Sio wale wasanii wakutupigisha mashabiki makelele!
Kiingilio laki moja au milioni moja kwa meza moja yenye viti kumi na tiketi zote zimenunuliwa masaa 24 kabla ya show.
# Gracious Mopao.
# Muziki ya wakubwa.
# Somo kwa Diamond na wenzake: Acheni kupiga show za bure. Zile show Diamond unalipwa na kampuni Dola elfu arobaini upige show ya bure uwanjani kwa AJILI ya kupromote bidhaa au huduma za kampuni hiyo mwisho wa siku zitakuja kuua biashara ya show za muziki Tanzania.
Hiyo itawazoeza vibaya watanzania na mwisho wa siku ukipiga show ya kiingilio people won't show up.
# Kuuza album ilikufa.
# Show za mtu mmoja nazo zilikufa.
# Now mnataka kuua kabisa biashara ya show.
Jifunzeni kwa management ya Koffi. Asas wametoa kibunda cha kutosha kwa Koffi na show kiingilio laki na tiketi zote zimenunuliwa