Koffi Olomide: Special Thread

Shiw kubwa bongo kuliko zote ilikua ya kanda bongoman miaka ya tisini huko kiingilio kilikua laki moja

Halafu ushasema Zari all white party kwa sasa haitawezekana,zari hatumiki ovyo ujue.
hv mshaisahau Zari all white part ilikuwaje tena diamond akiwa sio huyu wa sasa Na ndio show iliyoingiza pesa nyingi kuliko show yoyote iliyowahi fanyika hapa bongo mpaka sasa
je itakuwaje afanye sasa
 
Shiw kubwa bongo kuliko zote ilikua ya kanda bongoman miaka ya tisini huko kiingilio kilikua laki moja

Halafu ushasema Zari all white party kwa sasa haitawezekana,zari hatumiki ovyo ujue.
hujanielewa...?
 
Shiw kubwa bongo kuliko zote ilikua ya kanda bongoman miaka ya tisini huko kiingilio kilikua laki moja

Halafu ushasema Zari all white party kwa sasa haitawezekana,zari hatumiki ovyo ujue.
hujanielewa...?
 
Mopao Dawa yake anaichemsha Ferre Gola...ni suala la muda.
===
ila Koffi kuna mipini fulani hivi ikipigwa "huwa na sitisha baadhi ya shughuli" . Uwezo anao.
Kumbuka pia bendi ya KOFFI OLOMIDE ndiyo ilikuwa chanzo cha FERRE GOLA kupanda kwenye chati ya music mwaka 2005-2006,
hii ni baadhi ya list ya nyimbo kali za FERRE GOLA........Linganisha na lisf itakayofuatia ya KOFFI OLOMIDE
*FERRE GOLA
.Judgement
.Kinshasa
.Apprivoise
.Court circuit
.Ma meilleure chemise
.Moteki mbala
..Mobebe

VS


KOFFI OLOMIDE
.Elegance
.selfie
.adora
.cle boa .....hii ngoma AKUDO IMPACT wameitafsiri wakakopi na vocal wakaiita "MAPENZI KITU GANI"
.elixir
.grand petre mere
.koffi pleure ley
.lamour nexiste pas
.libebe
.lo lo lo
.lovemecyne
.masuwa
.molunge
.mutshibara
.ninelle
.nyataquance
.paty
.plat favori
.sil te plait
.salopette
.soupou
.yaka
.alidor
.jeune pato
.jour de joie
.papa mobimba
.papa ngwasuma
.un dollar
.pygmalion
.pi pi pi
.tshou tshou


wacha kumfananisha QUADRA KORA MAN,GRAND MOPAO MOKONZI,PATRAO,LE RAMBO,NKOLO LUPEMBA,MOKOLO BILANGA,ACKRAM OJE,LEGENDE,L'HOMME AUX MILLE IDEES,JEUNE PATO,LE GRAND CHE,MILKSHAKE...................ANTOINE CHRISTOPHE AGBEPA MUMBA na wajukuu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…