naitwa Dr. Zahir
Hiyo haina tatizo kabisa brother !
Hivi Jf moderators hamuoni tatizo la kiuandishi katika mada hii ama ndo yale yale mnaaga mko kazini kumbe kazi ni kusugua kucha tu, msituharibie lugha yetu hadhimu na ufasaha wake. Ni bora panapokuwa panawashinda mkauliza wataalamu Bakita naamini wanaweza kuwasaidia sana, kikojoleo ndo mdudu gani?
Salam kwenu Doctors, jamaani sijui kama ni tatizo, mwanangu ana miezi 4 ni wa kiume, tangu nimejifungua anakojoa penis yake ina erect na akikojoa anarusha mbali akiwa hayupo daipers..
Sasa kama wk 2 hivi siioni tena hiyo hali, akikojoa unaishia tu hapo karibu, doctors is it normal?
Hivi Jf moderators hamuoni tatizo la kiuandishi katika mada hii ama ndo yale yale mnaaga mko kazini kumbe kazi ni kusugua kucha tu, msituharibie lugha yetu hadhimu na ufasaha wake. Ni bora panapokuwa panawashinda mkauliza wataalamu Bakita naamini wanaweza kuwasaidia sana, kikojoleo ndo mdudu gani?
Huyo mtoto kafuata tabia ya baba yake utotoni na ujanani. Chondechonde asiige tabia za Diamond.