Salam kwenu Doctors, jamaani sijui kama ni tatizo, mwanangu ana miezi 4 ni wa kiume, tangu nimejifungua anakojoa penis yake ina erect na akikojoa anarusha mbali akiwa hayupo daipers..
Sasa kama wk 2 hivi siioni tena hiyo hali, akikojoa unaishia tu hapo karibu, doctors is it normal?
Sasa kama wk 2 hivi siioni tena hiyo hali, akikojoa unaishia tu hapo karibu, doctors is it normal?