Ya kwao wakiwa wanaamsha mizimuWe jamaa miyqyusho kweli nymb gani hyo😁😃
Jamaa anarap au anachanaAjaribu kuimba RnB, hip hop hapa bongo hamna kitu, hip hop tuwaachie USA
Tatizo la hawa wasanii wanaendekeza uhuni, ngoma kama hii ina ubishoo flan hivi, mara nyingi wasanii wanaopenda uhuni hawatoboiKama miziki yenu Vijana ndiyo hii kweli kazi mnayo, mziki hauna vibe hata Mimi mzee umeshindwa kunivutia🤪🙌
We hujui mziki kabisa rudi kwenye ngoma za asili. Kwanza beat la kienyeji hata linavyoanza, kuja kwenye kuimba kwenyewe nimeishia alipoanzia etiE banae katika pitapita zangu YouTube nimekutana na ngoma moja ya Kokoriko ya jamaa anaitwa Paw Fum nikaichukulia poa badae nika download nikaeka kwenye bufa ebana ngoma inakita sio poa.
Kwa wale DJ's wa Pub hii itakuwa nzuri kwenu kwasababu ina amsha amsha flani hivi inapandisha mizuka. Ukisikiliza kwenye simu hupati utamu mchawi weka kwenye bufa hapo utaskia mapigo yake.
Natamani kumfahamu producer aliyesuka hili tambo wakuu
Mm nimependa hilo beat, namshauri aachane na Rap mana haina soko, hata Rema na Davido iliwashinda wakaja Pop wametoboaWe hujui mziki kabisa rudi kwenye ngoma za asili. Kwanza beat la kienyeji hata linavyoanza, kuja kwenye kuimba kwenyewe nimeishia alipoanzia eti
"Kokorikoo, kama kikuku.
Kokorikoo una, uchungu"
Uko mbele sijui ameendeleaje. Mziki gani huu
Yaani nyimbo haina maudhui kabisaTatizo la hawa wasanii wanaendekeza uhuni, ngoma kama hii ina ubishoo flan hivi, mara nyingi wasanii wanaopenda uhuni hawatoboi
Kwa kweli, ameshindwa kutumia mbinu ya kuandikiwa?Mabishoo hao, hawanaga maudhui uhuni mwingi
Ni kweli Mkuu, nakumbuka hata Prof Jay aliwahi kufanya wimbo wa Singeli, na ulifanya vizuri sana tuKwa Hip Hop hata kama ukiandikiwa haina soko bora aimbe singeli
Nyimbo ya kisenge sijawai kusikiaWe jamaa miyqyusho kweli nymb gani hyo😁😃