DOKEZO Kokoto zinaibwa kwenye barabara ya Tarime Mjini-Nyamongo inayojengwa kwa kiwango cha lami

DOKEZO Kokoto zinaibwa kwenye barabara ya Tarime Mjini-Nyamongo inayojengwa kwa kiwango cha lami

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Nyamesocho

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2023
Posts
487
Reaction score
1,287
Mkandarasi wa barabara ya Tarime Mjini - Nyamongo awe makini baada ya kurundika kokoto barabarani, sasa wananchi wanazichota usiku kwenda kujengea majumbani kwao.

Mkandarasi na Jeshi la Polisi waangalie hili.

========

UPDATES...
Akizungumzia madai hayo ya wizi wa kokoto, Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS - Mkoa wa Mara), Vedastus Maribe amesema “Sijapata hiyo ripoti ya wizi, pamoja na hivyo jukumu la ulinzi wa mali na miundombinu lipo chini ya Mkandarasi na kama kukiwa na changamoto yoyote atatujulisha au ataripoti Polisi.”

“Tulikuwa huko na Mkuu wa Mkoa wiki iliyopita hatukupata hiyo ripoti, inawezekana unafanyika wizi mdogomdogo ambao bado haujafikia kiwango cha kuathiri mradi.”
 
Mkandarasi wa barabara ya Tarime mjini-Nyamongo awe makini baada ya kurundika kokoto barabarani, sasa wananchi wanazichota usiku kwenda kujengea majumbani kwao.

Mkandarasi na jeshi la polisi waangalie hili.
Mkurya wa wapi wewe una kiherehere kama hujatahiriwa! Utakuwa mrisya wewe maaana una tabia za kindezi sana walioenda jando hawawezi kuongea ujinga kama wako.
Umeshindwa kutoa taarifa jinsi Wazungu wa North Mara wanavyochimba madini na kuvuka mipaka yao unatuletea habari za kokoto. Kokoto ya nyokweeee
 
Kama yanaibiwa mawe ndani ya mgodi ambao unalindwa na polisi, mbwa, kamera, ukita, umeme na walinzi..... sembuse kokoto zinazo zagaa barabarani kwa kutelekezwa na mkandarasi kwa zaidi ya mwaka mzima...☹️!! sokoro mrisya mkubwa wewe....
 
Humu Jf kuna majitu ya hovyo sana aiseeeee......
Hiyo barabara imeanza kukwanguliwa mwaka 2022 February, pamoja na kuwekewa vifusi na mawe ya kuimarisha barabara. Lakini hadi juzi nimepita hakuna chochote kilicho fanyika zaidi ya kuharibu barabara na kusababisha ajali zisizo za lazima kwa kutokuweka diversions.
Pamoja na hayo, hakuna kokoto inayoweza stahimili mkusanyo ama kujitunza ikiwa mkandarasi mwenyewe hana la maana analo lifanya barabarani.
Hizo kokoto zimesambaa kwa kukanyagwa na magari, pikipiki, mifugo na movements za wapitanjia na wanakijiji wa Kemakorere na  Nyarero
 
Mkandarasi wa barabara ya Tarime mjini-Nyamongo awe makini baada ya kurundika kokoto barabarani, sasa wananchi wanazichota usiku kwenda kujengea majumbani kwao.

Mkandarasi na jeshi la polisi waangalie hili.
Ndo maana wakija Dar wanauza mayai huko "ki-fruit". Siyo dhambi mwanaume kuuza mayai ama kukaanga chips hadharani bali siyo kazi ya wanaume.
 
Mkurya wa wapi wewe una kiherehere kama hujatahiriwa! Utakuwa mrisya wewe maaana una tabia za kindezi sana walioenda jando hawawezi kuongea ujinga kama wako.
Umeshindwa kutoa taarifa jinsi Wazungu wa North Mara wanavyochimba madini na kuvuka mipaka yao unatuletea habari za kokoto. Kokoto ya nyokweeee
Acha mkwara mbuzi kwa mleta mada. Mna mbwembwe na vitisho vya kijinga ilhal mkija Dar mnabakia kuuza mayai tu.
 
Mkurya wa wapi wewe una kiherehere kama hujatahiriwa! Utakuwa mrisya wewe maaana una tabia za kindezi sana walioenda jando hawawezi kuongea ujinga kama wako.
Umeshindwa kutoa taarifa jinsi Wazungu wa North Mara wanavyochimba madini na kuvuka mipaka yao unatuletea habari za kokoto. Kokoto ya nyokweeee
we mkurya wa wapi mpumbavu km wewe. Mtu kwa uzalendo wake anaripoti uwizi wa vitendea kazi ya kujenga lami ambayo ni kwa faida yao we unakuja na huu upupu halafu unajiita mkurya aliyetahiriwa. Kwanza acha ushamba kutahiriwa kunachangia nini ktkt tabis ya mtu
 
we mkurya wa wapi mpumbavu km wewe. Mtu kwa uzalendo wake anaripoti uwizi wa vitendea kazi ya kujenga lami ambayo ni kwa faida yao we unakuja na huu upupu halafu unajiita mkurya aliyetahiriwa. Kwanza acha ushamba kutahiriwa kunachangia nini ktkt tabis ya mtu
Kwani mwananchi anapata asala gani kama kuiba wanamuita mchina aliyelipwa pesa, ni sawa na wewe nikulipe pesa ujenge bara bara ya chalinze dar kwenye site yako uibiwe vifaa kwa akili yako mimi nitakulipa fidia ?
 
Mkurya wa wapi wewe una kiherehere kama hujatahiriwa! Utakuwa mrisya wewe maaana una tabia za kindezi sana walioenda jando hawawezi kuongea ujinga kama wako.
Umeshindwa kutoa taarifa jinsi Wazungu wa North Mara wanavyochimba madini na kuvuka mipaka yao unatuletea habari za kokoto. Kokoto ya nyokweeee
Mlio kuzwa kwenye maisha ya wizi na udokozi mnaonekana tu
 
Back
Top Bottom