Kokoto zinazonyonya maji kupeleka ardhini zipoje na zinapatikana wapi?

Kokoto zinazonyonya maji kupeleka ardhini zipoje na zinapatikana wapi?

abudist

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2009
Posts
850
Reaction score
781
Wadau, nimeambiwa eti kuna aina ya kokoto maalum zinazonyonya maji kupeleka ardhini.

Je, nani anazijua na zinapatikana wapi? Maana kuna maji ya pavement tumeyatengenezea mfereji lakini mvua ikiwa imepiga kubwa yanachelewa kukauka mferejini.

Na hamna sehemu ya kuyatoa zaidi ya hapo maana mbele ni barabara na hakuna miundo mbinu ya kutoa maji machafu.
 
IMG_5540.jpg
 
Salaam mkuu, hizo ndizo kokoto zenyewe? Kama ndizo zinapatikana wapi?

Issue sio kokoto boss. wewe kwa akili yako zitanyonya maji yako yote ya mvua? Ni kwamba maji yakimwagikia humo kwenye shimo ni rahisi kwenda ardhini. hapo zinazuia Mmomonyoko na ni kama Chujio zinasaidia maji ku pacolate ardhini.
 
Zinapatika machimbo ya mawe boko dar es salaam ukifika waambie unataka kokoto mabuyu ndizo zenye sifa ya kinyonya maji
 
Back
Top Bottom