Kolabo ya Lil Wayne & Chris Brown featured by MB Dogg hivi ni kweli jamani?

TEKNOLOJIA

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
4,305
Reaction score
2,563
Leo hii ndani ya XXL ya Clouds FM msanii MB Dogg amethibitisha kwamba mpango wa kuwashirikisha wanamuziki mashuhuri kutoka Marekani Lil Wayne na Chris Brown ktk wimbo wake upo na wanatarajia kufanya kolabo mwezi June mwaka huu.

Mh siamini niliyoyasikia au labda jamaa ana_joke flani hivi. Yaani aipate hii nafasi adimu ambayo hata P-SQUARE na umaarufu wao wote wameshindwa kuipata?

Mmmh haya bhana!

==========

Update:

Chanzo: Bongo5
 
Vijana acheni kuvuta asubuhi asubuhi bila ya kupata chai kwanza. Nilimsikia mwingine juzi anasema alisoma na Obama South Africa. Chonde chonde, bangi ni dawa sio kiburudisho.
 
mh,ngumu kumeza ila tusimalize maneno wadau,tuvuteni subra huwenda anamaanisha kabisa anachokisema,you never know ametumia njia gani mpaka kufikia uko!it is just a matter of time,in shaa allah!
 

Nothing impossible under the sun,,,,let's wait
 
uongooo yani mb doggi akipiga tu kolabo hata na Davido nakunya hadi kenya, tena ndo apige collabo na chris brown aki ya nani NEVEEER, Samahanini lakini
 
Acheni kumfananisha lil Wayne na mambo ya kijinga!
 

aaaah! kuna vitu ambavyo ukiambiwa kama ulikuwa unaangalia TV unazima halafu unakwenda kulala, ndiyo kama hii.
Sina uhakika Lilwayne na Chriss kama watakubali kufanya Collabo.
 
Nooma sana, ni sawa na kugraduate chekechea na kuingia chuo kikuu
 
Kwani ili uwashirikishe ufanyeje maana wote mnasema haiwezekani bila kutuambia kwanini haiwezekani na ili iwezekane unafanyaje ??????????? ( tuongee kwa hoja sio kama walevi wa mataputapu ndio mantiki ya uwepo wa JF)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…