Komandoo Ahmaz wa Hezbollah Navy aliyekamatwa na Israel akutwa na line ya simu ya tiGO

SIM cards from different countries.. Sijaona popote ilipotajwa Tigo
 
Ni mwaka Sasa idf usaf mossad shinbet nk wameokoa magaidi wao watano tu waliovuliwa kama dagaa na hamas wakakomboe kwanza wale dagaa zao kule
Lengo limetimia la kuwaondoa wapalestina na kugawana maeneo. Hukuona juzi Waisrael wanapimiwa viwanja vipya Gaza? Hao mateka ni namna tu ya kuhalalisha
 
Lengo limetimia la kuwaondoa wapalestina na kugawana maeneo. Hukuona juzi Waisrael wanapimiwa viwanja vipya Gaza? Hao mateka ni namna tu ya kuhalalisha
Lengo gani hakuna mzayuni atakaa Ghaza ngojea uone
 
Mazayuni wanafifirisha mambo ya kuchapwa kwao. Huyo ni raia wa kawaida na Captain wa meli. Hana cha kuficha wala cha siri.

Mashoga wanazidi kudhihirisha ushoga wao.
Mashoga wengine hawa hapa! Wakitoa show siku ya kumaliza Madrasa
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1730682070016.mp4
    2.1 MB
Hii operation ilikuwa complex sana

Bado wana ichukulia poa IDF, kuna mwingine wamemchukua Syria.

Ninawasiwasi Serikali ya Lebanon kuna namna inatoa Ushirikiano kwa IDF
Hakuna cha operation wamefanya kumteka hata huku wasiojulikana ndio huteka watu .,kwa hio usitie mbwembwe nyingi
 
Kama tigo hadi magaidi wanatumia basi kampuni inajua kutunza siri, mambo ya Lisu yapuuzwe
 
Hii operation ilikuwa complex sana

Bado wana ichukulia poa IDF, kuna mwingine wamemchukua Syria.

Ninawasiwasi Serikali ya Lebanon kuna namna inatoa Ushirikiano kwa IDF
Je wako tayari nchi yao iwe Gaza?
Ila Israel ya sasa sio ya 2006, kwa sasa kapiga haswa, kawapiga hadi mabwana zao
 
Ni mwaka Sasa idf usaf mossad shinbet nk wameokoa magaidi wao watano tu waliovuliwa kama dagaa na hamas wakakomboe kwanza wale dagaa zao kule
Hamas wenyewe wanasema hawajui mateka walipo.. wanajua kuna watu kadhaa kama wanne ndio wamewahifadhi... ndio maana wanataka vita isimame kabisa wawatafute...
 
Upo sahihi kabia, gaidi kwako mpigania uhuru kwa mwengine.

Hata Madiba alifungwa kwa ugaidi.
Lebanon Hezbollah wanapigania uhuru gani ? Zaidi ya kuteka nchi ya Christians majority..

Magaidi wenzio walishaulizwa nini kazi ya Hezbollah wakakosa majibu.. wewe ndio umetoa mpya eti wapigania uhuru? Upi? Dhidi ya wakristo? Mtume wenu hakukosea kusema wanawake wa kiislam wana akili nusu
 
Kwani nani kaingia kupigana lebanon? Na kwanini?
. Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mazayuni wanafifirisha mambo ya kuchapwa kwao. Huyo ni raia wa kawaida na Captain wa meli. Hana cha kuficha wala cha siri.

Mashoga wanazidi kudhihirisha ushoga wao.
Mashoga haya yananyonyana mate. Kipigo kinaendelea hakuna kuacha. Kama Muddy alivyonyonya ulimi wa mtoto wa dada yake wa kiume. Tumewashtukia nyie mashoga na muddy wenu. Israel wataendelea kuwachapa na kuwakamata kama mwewe anavyokamata panya aliyetoka shimoni.

 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
    130.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
    81 KB · Views: 5
  • Screenshot_2024-10-18-08-28-31-140_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
    212.6 KB · Views: 3
Je wako tayari nchi yao iwe Gaza?
Ila Israel ya sasa sio ya 2006, kwa sasa kapiga haswa, kawapiga hadi mabwana zao
Labda unaisikia tu Lebanon, huielewi kuwa unayoisikia sasa hivi ni mabaki tu ya lebanon.
. Hawana cha kupoteza isipokuwa watu tu.

Soma kijana kabla hujakurupuka.
 
Niliwacha kuwashangaa kondoo zamani sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…