Hawa makachero wa Bilali watarudi ZNZ na vilio kama ilivyotokea mwaka 2000. Hatuwezi kuendelea kuchagua kundi la wana CCM wanaowabagua wana CCM wenzao kwa vile tu wanatoka kisiwa cha Pemba. DR Shein yuko na uwezo zaidi hasa ukizingatia amefanya kazi kwenye serikali zote mbili na Ameshika Nafasi kubwa zaidi kuliko Bilali na Nahodha , huu ndio ukweli Bilali hajakomaa kama Kiongozi kwani Kiongozi hawezi kuwa na makundi.