Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

Angalieni magoli ya stars hapa:
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=9Ila_r3CEwg[/ame]
 
Maximo mwenyewe pale alipokuwa alikuwa anajisikia kupaa, maana wanoko walishamdis kishenzi ati anaua timu, sijui leo watasemaje!

alikuwa anaimba wimbo wa Sister P
'watu wanachonga sana juu yangu'
 
Kilimanjaro 4 - Eritrea 0,kwa msingi huo tunacheza na Rwanda,kesho kutwa.
lakini maximo lazima aoondoke tuu?sio kocha,ni kipaji binafsi cha wachezaji.
 
Kanda2 ovyo kweli yaani kuwafunga wale wakimbizi wa vita ndio imekuwa issue. If anything pongeza zimuendee Henry Joseph kazi yote kafanya yeye yule mbilikimo Ngasa ngekewa tu
 
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=9Ila_r3CEwg[/ame]

Have fun!
 
tumewageuza nne bila kama,nadhani ni zawadi ya b=vijana kwa sherehe za maadhimisho ya uhuru bwana.Hongera sana kil stars...
 
Duh Bongonians kiboko, yani kuifunga timu ya 151 kwenye FIFA ranking tayari mnaona Maximo anafaa?
 
Maximo big up sana nadhani mziray sasa kapata jibu

Big up kwa kuwafunga vibonde? Ile timu hata Tukuyu Stars wanaifunga! Kalaghabaho! Haya na Rwanda naye kawatundika Zimbabwe 4. Tuone nusu fainali itakuwaje!
 
a win is a win!!!
tunachotaka ni kombe, hatuna haja ya kuangalia sana ni njia gani tumepitia mpaka kulipata hilo kombe.
Baada ya hapo ndo tutamuelewe vizuri maximo anafanya nini..
 
a win is a win!!!
tunachotaka ni kombe, hatuna haja ya kuangalia sana ni njia gani tumepitia mpaka kulipata hilo kombe.
Baada ya hapo ndo tutamuelewe vizuri maximo anafanya nini..

And you call that a win?
 
Naunga mkono na mguu hoja. Tunachohitaji ni kombe. Maximo hakuletwa hapa kucheza filamu, mafanikio ya mechi 1 au 2 haitoshi. Ubora wa kocha huonyeshwa na vikombe alivyowahi kuchukua. Tunasubiri kwa hamu sana hilo kombe, asipokuja nalo atapigiwa kelele tu. Naomba kuwasilisha mchango wangu.
 
Kazi kwetu kwa rwanda.....waliobahatisha huwa wanaishia nusu fainali.....tumsubirie Maximo na one man show.....
 
Kazi kwetu kwa rwanda.....waliobahatisha huwa wanaishia nusu fainali.....tumsubirie Maximo na one man show.....


Mkuu, hebu tusubiri tuone... mimi naamini ushindi wetu si kwa sababu ya Maximo pekee, na hata kushindwa si kwasbabu ya MAximo pekee

NIjuavyo mimi kwa sasa Maximo amejikita kwenye uigizaji filamu na filamu yake ya kwanza imetoka!!! Sasa sijui ile work permit yake inamruhusu kucheza sinema au vipi?? Sijui wa uhamiaji wanatueleza nini?
 
na pia huwa anonekana kwenye kipindi cha mapishi CHANNEL TEN.......nadhani hata TRA wamfuate,ana vyanzo vingi vya mapato....
 
Back
Top Bottom