Kombe la Cecafa Senior Challenge 2009

SIjui unakimbia kivuli chako maana hapo panashirikishwa nchi sasa pale naiona Zanzibar Heroes ambayo inatoka Nchi ya Zanzibar na kuna Kilimanjaro hiyo inatoka nchi gani ? Sasa unaposema vyama vya michezo hivyo vyama inabidi viwakilishe Nchi kwa ujumla wake ili ipate timu ya Taifa la Nchi hiyo itakayoshiriki katika mashindano hayo kwa mantiki hiyo unapoitaja FAT na ndio imeipeleka Kili basi hapo ndipo mlipopenya kinyemela ,siwezi kukubaliana na wewe kuwa Kili inawakilisha Tanzania ,Tanzania ni Muungano wa Nchi mbili ,Zanzibar na Tanganyika ,kaka Tanganyika haipo au naongopea ? Suali Kili iliwakilisha nani au Inchi gani ?
 
Haaaaa haaaaaa haaaaaaa!
 
Hehehe
endeleeni kumkashifu maksimo mtaalam wa nidhamu mkidhani ataondolewa. kama muungwana mzee wa toothpick wamewashindwa kuwaondoa mafisadi unadhani watamwonoa mere maximo???? subutuuuuu?!!!!

wakimuondoa naandamana. (ingawa simpendi hata kama tungeshinda)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…