ha ha ha watu wanajisahau sana tatizo lol.Cha ajabu, timu ikifungwa.....Uganda 2 Maximo 0! Ikishinda Kili 1 Burundi 0!!!!...... Duh wabongo bwana!!!
Habari zilitofikia muda huu timu ya Zanzibar imeingia nusu fainal baada ya kuitoa timu ya ZAMBIA kwa mikwaju ya penati
big up zanzibar