Kombe la Dunia la Wanawake U17 Tanzania nje

Kombe la Dunia la Wanawake U17 Tanzania nje

RayropeX

Member
Joined
May 23, 2013
Posts
9
Reaction score
15
Mchezo umemalizika kwa Tanzania kupoteza kwa bao 3-0 dhidi ya Colombia.

Magoli yote tumefungwa mapema sana kipindi cha kwanza na hii inaonyesha Kocha Bakari Shime alivyowaingiza mabinti bila nidhamu ya mchezo kwa vile tuliwafunga Ufaransa.

Nina imani kama tungeingia kwa kujilinda zaidi na kushambulia kwa kushtukiza huenda lolote lingeweza kutokea.

Warudi Sasa nyumbani maana tuliwakumbuka!
 
Mchezo umemalizika kwa Tanzania kupoteza kwa bao 3-0 dhidi ya Colombia.

Magoli yote tumefungwa mapema sana kipindi cha kwanza na hii inaonyesha kocha Bakari Shime alivyowaingiza mabinti bila discipline ya Mchezo kwa vile tuliwafunga Ufaransa.

Nina Imani kama tungeingia kwa kujilinda zaidi na kushambulia kwa kushtukiza huenda lolote lingeweza kutokea.

Warudi Sasa nyumbani maana tuliwamiss!

Wasingeweza kuifunga Colombia wamezidiwa. Warudi tu
 
Sikufuatilia hii mitanange..., Huko zimechezwa games ngapi na matokeo yamekuwaje tumejipatia lolote katika hizo games..., au mashindano haya ni knock out from the word go ?
 
Kwanza Ufaransa imefungwa na watu wazima... Sisi bado
 
Mchezo umemalizika kwa Tanzania kupoteza kwa bao 3-0 dhidi ya Colombia.

Magoli yote tumefungwa mapema sana kipindi cha kwanza na hii inaonyesha kocha Bakari Shime alivyowaingiza mabinti bila discipline ya Mchezo kwa vile tuliwafunga Ufaransa.

Nina Imani kama tungeingia kwa kujilinda zaidi na kushambulia kwa kushtukiza huenda lolote lingeweza kutokea.

Warudi Sasa nyumbani maana tuliwamiss!
 
Mchezo umemalizika kwa Tanzania kupoteza kwa bao 3-0 dhidi ya Colombia.

Magoli yote tumefungwa mapema sana kipindi cha kwanza na hii inaonyesha kocha Bakari Shime alivyowaingiza mabinti bila discipline ya Mchezo kwa vile tuliwafunga Ufaransa.

Nina Imani kama tungeingia kwa kujilinda zaidi na kushambulia kwa kushtukiza huenda lolote lingeweza kutokea.

Warudi Sasa nyumbani maana tuliwamiss!
At least hao mabinti kuliko hizi mbilinge
 
Colombia walituzidi katika ubora, dk 20 za mwanzo tulikua nawatu Tisa nyuma ya mpira lakini Colombia Wana wachezaji wenye uwezo wa mbinu, goli la kwanza imepenyezwa pasi Kwa Mfungaji yaani pasi kama wanacheza wanaume Tena wanao jua.
Goli la pili hivyo hivyo, wenzetu Wana wachezaji wanaocheza Ulaya na sehemu nyingine kwenye mpira unao eleweka.
Bakari shime amejitahidi sana ila ubora umeamua mechi, kucheza na watu pungufu Kwa takribani nusu ya mchezo na wapinzani walio wazidi ki mbinu na uwezo binafsi ni jambo gumu
 
Warudi Sasa nyumbani maana tuliwamiss

[emoji115]
Hapo ndo nimekuona ww ni zuzu.
 
Back
Top Bottom