Kombe la Dunia la Wanawake U17 Tanzania nje

Kombe la Dunia la Wanawake U17 Tanzania nje

Serengeti girls wetu wamejitahidi mpaka hapo walipofikia .
Kundi lao walikuwa na Japan, France na Canada.
Japan wakawatuchapa, tukawachapa France, tukadraw na Canada ndo kufikia hii knock-out stage, a.k.a 16 bora tumetolewa na hao wadogo zake Zuniga alimtegua uti wa mgongo Neymar.
Kiufupi, kwa mazingira wanyotrain watoto wetu, wanastahili pongezi mpaka hapo walipofika.

Mpira wa bongo unabebwa na wavulana na wadi Hama wa under 17, wanawake na watu wenye ulemavu.
Wanaume ni upuuzi mtupu.
 
Serengeti girls wetu wamejitahidi mpaka hapo walipofikia .
Kundi lao walikuwa na Japan, France na Canada.
Japan wakawatuchapa, tukawachapa France, tukadraw na Canada ndo kufikia hii knock-out stage, a.k.a 16 bora tumetolewa na hao wadogo zake Zuniga alimtegua uti wa mgongo Neymar.
Kiufupi, kwa mazingira wanyotrain watoto wetu, wanastahili pongezi mpaka hapo walipofika.

Mpira wa bongo unabebwa na wavulana na wadi Hama wa under 17, wanawake na watu wenye ulemavu.
Wanaume ni upuuzi mtupu.
Tatizo letu africa hatuwi wakweli. Mashindano haya mara nyingi timu za africa tunadanganya sana umri. Ndio maana ukija kwenye senior teams tunafeli sana.

Hao marekani unaambiwa hawajawahi shinda world cup ya u17 lakini angalia wanavyotawala women senior football. Jana unawaangalia wale u17 wao unaona kabisa hawa ni watoto kabisa no doubt whatsoever. Wape wale miaka 4-6 utashangaa wao ndio wanakuwa olympic champions au world champions sie tutaanza ulizana mbona senior team ata afcon hatushiriki.

Mwezi uliopita u20 spain wanawake wameshinda kombe la dunia. Four years back wao ndio walikuwa u17 champions. So unaona wanakuwa na muendelezo kwa sababu hamna age cheating kama huku africa.
 
Nikishangazwa kuona timu inanaazna kutukuzwa na kufikiaa kuwaona wanaume hmn kitu na mpira wa wanawake ndio ipewe vipaumbelee

Achwa wapigwee walipazWa kuaga michuano siku nyingi snaaa
 
Viongozi wa serikali walipoanza kuingia na kupongeza hii timu nikajisemea tu"tayari washaitia gundu hii timu hapo ndo mwisho"nakweli imetokea.
The same to Mee nilivyo ona tu wanaanza kupewa promoo na kuonekana tishio nikasema hpa tayari imeshapoteza muelekeo
 
Mechi zote wamepata red card coach awafundishe nidhamu
Asee vile vidada kwa kweli havina nidhamu ya kimchezo.
Kuna zile international standards za mchezo wanatakiwa kujifunza kuliko kujifanya manunda kama walivyoonesha. Ila wamejitahidi.
 
Hongera Binti zetu kwa hatua waliofikia, hata hivyo record ya kuondoka kwenye mashindano na RED CARD 4 sio jambo zuri sana.
 
Mchezo umemalizika kwa Tanzania kupoteza kwa bao 3-0 dhidi ya Colombia.

Magoli yote tumefungwa mapema sana kipindi cha kwanza na hii inaonyesha kocha Bakari Shime alivyowaingiza mabinti bila discipline ya Mchezo kwa vile tuliwafunga Ufaransa.

Nina Imani kama tungeingia kwa kujilinda zaidi na kushambulia kwa kushtukiza huenda lolote lingeweza kutokea.

Warudi Sasa nyumbani maana tuliwamiss!
Balari Shime na Edna Lema hawana uzoefu wa mashindano makubwa. Wana wachezaji wazuri sana lakini naona wamekosa benchi la ufundi lenye uzoefu wa mashindano.
Mabinti wanakosa kujiamini na kufanya makosa ya kizembe sana.
Kwenye mechi 4 walizocheza wamepata kadi nyekundu kwenye mechi 3 na kadi zote ni za mapema sana.
Wameweza kucheza dakika 60 za mwisho wakiwa 10 na hawakufugwa goli kwa dakika zote. Hii ina maana wana uwezo ila hawakujengewa msingi mzuri namna ya kuanza mpira kwa nidhamu huku wakimsoma mpinzani. Wao walitaka kuanza na kushinda tu.
 
Uliangalia mpira lkn?wakiwa nusu wamegongesha bomba la mpinzani 2×

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app

Nimeangalia. Tukubali Colombia wapo mbali zaidi yetu. Tumeingia kwa bahati tushukuru kwa Hilo na sio kujiona sisi ni Bora. Kocha awafundishe kucheza kwa nidhamu sio rafu zisizo kuwa na msingi.
 
Hawwna uwezo wamedanganya umri
Balari Shime na Edna Lema hawana uzoefu wa mashindano makubwa. Wana wachezaji wazuri sana lakini naona wamekosa benchi la ufundi lenye uzoefu wa mashindano.
Mabinti wanakosa kujiamini na kufanya makosa ya kizembe sana.
Kwenye mechi 4 walizocheza wamepata kadi nyekundu kwenye mechi 3 na kadi zote ni za mapema sana.
Wameweza kucheza dakika 60 za mwisho wakiwa 10 na hawakufugwa goli kwa dakika zote. Hii ina maana wana uwezo ila hawakujengewa msingi mzuri namna ya kuanza mpira kwa nidhamu huku wakimsoma mpinzani. Wao walitaka kuanza na kushinda tu.
 
Hadi hapo walipofika wamejitahidi.wapongezwe.sio kila muda tulaumu wakati uwezo wetu na uwekezaji wetu kwenye soka bado uko chini.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Kuna demu amempiga kiwiko cha kifua hapo mchezaji wetu halafu akaenda kumsimamia sijui anamtukana kispanish. Nadhani aliona wachezaji wetu wanacheza rafu sana.

Ingekuwa kwa wanaume zingekuwa ngumi.
 
Tatizo letu africa hatuwi wakweli. Mashindano haya mara nyingi timu za africa tunadanganya sana umri. Ndio maana ukija kwenye senior teams tunafeli sana.

Hao marekani unaambiwa hawajawahi shinda world cup ya u17 lakini angalia wanavyotawala women senior football. Jana unawaangalia wale u17 wao unaona kabisa hawa ni watoto kabisa no doubt whatsoever. Wape wa
le miaka 4-6 utashangaa wao ndio wanakuwa olympic champions au world champions sie tutaanza ulizana mbona senior team ata afcon hatushiriki.

Mwezi uliopita u20 spain wanawake wameshinda kombe la dunia. Four years back wao ndio walikuwa u17 champions. So unaona wanakuwa na muendelezo kwa sababu hamna age cheating kama huku africa.

Marekani mpira wa miguu ndio rede yao wanawake..

Kila mtoto wa kike lazima acheze mpira utotoni..

Under 17 wao wanakuwa under 17 kwelii sio sisi under 17 tunapeleka wadada above 20
 
𝑺𝑰𝑨𝑺𝑨 PLUS SOCCER 𝒊𝒔 𝒆𝒒𝒖𝒂𝒍 𝒕𝒐 𝒛𝒆𝒓𝒐
 
Marekani mpira wa miguu ndio rede yao wanawake..

Kila mtoto wa kike lazima acheze mpira utotoni..

Under 17 wao wanakuwa under 17 kwelii sio sisi under 17 tunapeleka wadada above 20
Vile vitoto niliviona jana hubishi kuwa hawa ni u17.
 
Back
Top Bottom