Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
Better to have a plain wife for yourself than a beautiful wife for others.
Halafu hili nalo jambo!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Better to have a plain wife for yourself than a beautiful wife for others.
Hebu nikumbushe matokeo ya Sauz Vs Uruguay. Jana nilijisahau nikaenda kuangalia kenye bigi skriinSisi tunaochelewaga kila siku!! kipindi hiki cha weldi kapu wawekwezaji wetu wanajua hakitupi tabu!! kwanza ukiangalia mpira, then asubuhi hukumbuki aliyefungwa na nani kafunga si uchuro tu huo!! bora kusimuliwa kuliko kuumiza macho na kesho yake usikumbuke!!!
Mbona hujalitendea haki sasa?Halafu hili nalo jambo!!
hehehehe!
WHAT IS HAPPENING HAPA WAJAMENI?
Vuvuzela zimegeuka filimbi lol!!(Nachukua uraia wa Brazil ili kuisimika infidelity mpaka siku ya fainali)Leo kuna maombolezo Mengine...:sad: (Infidelity days are numbered)...lol
Ushasahau wengine tushachukua uraia wa brazil/italy/germany/Ghana? Kwa mtaji huo infidelity uhakika mpaka siku ya fainali!!Hii Ngoma bwana mbona mataifa ya Africa tumeanza Vibaya ... hapa ndo wanaume mnaanza kujifanya wakali ka simba kumbe maumivu moyoni ..
Vuvuzela zimegeuka filimbi lol!!(Nachukua uraia wa Brazil ili kuisimika infidelity mpaka siku ya fainali)
Hahahahaha! Kakague kule (nimekugongea senksi kwa hii yuzifuli posti). Brazil wananifurahisha sana. wakikuboa kwenye soka, unafaidi ma G Strings!!!He he hee... Maumivu.... Bora filimbi inatoa mlio... unaweza ukawa kama unapuliza moto ...lol (Huko Brazil we sema unafata Ma-G'String)...
Hahahahaha! Kakague kule (nimekugongea senksi kwa hii yuzifuli posti). Brazil wananifurahisha sana. wakikuboa kwenye soka, unafaidi ma G Strings!!!
Hahahaha! Umenikumbusha mheshimiwa merehemu na hayati Iddi Amin Kaidada!!!Nimerivenji...
Kwanini unatafuta nyumba ndogo, kwani hao wake zenu mlilazimishwa kuwaoa au mlianza wenyewe kutangaza nia hadi mkapigiwa vigelegele.Hii ni fursa pekee ya nyumba ndogo kubebeshwa mimba.
nyumba ndogooz are there TO STAY BANA!baba askofu-methodiaaaz kili-laini ameapruuvKwanini unatafuta nyumba ndogo, kwani hao wake zenu mlilazimishwa kuwaoa au mlianza wenyewe kutangaza nia hadi mkapigiwa vigelegele.
hebu wafanyeni wake zenu pia wapende soka. Aiseee linanaga sana ukiwa na waifu!!
Lakini kama soka tu, ok, ila kama na nyumba ndogo acheni mtaleta watoto wa mitaani. Komeni haraka.
wapendwa,
WHAT ARE WE DISCUSSING TODAY?
nyumba ndogooz are there TO STAY BANA!baba askofu-methodiaaaz kili-laini ameapruuv
LAKINI wee baba-askofu kili-laini wewe!...
hivi jana uliniona tibiisii?
Hahahaha! Umenikumbusha mheshimiwa merehemu na hayati Iddi Amin Kaidada!!!