Kombe la FA, hata Yanga watatolewa

Kombe la FA, hata Yanga watatolewa

Kizibo255

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
515
Reaction score
376
Kama aina ya mpira yenyewe ndio hii wanayocheza, hata wao watatufuata tu
Mimi ni shabiki wa simba ila siwaombei mabaya lkn hawa watani zangu km wanataka kuwa tofauti na sisi, basi hawana budi kuongeza bidii
Ni hayo tu
 
Vitoto vya Manara vina wivu na majungu hakuna mfano.
 
Duh alale pema Sheikh Yahya hakika haujaacha pengo maana watoto wa Manara wanatabiri kuliko wewe....[emoji23][emoji23][emoji23]
 
CCM kuiombea CDM mema = Unafiki


Endelea kuomba tu
 
Hizi ni effect za cocobata mazee
Njoo perfect 12 ya m-bet
 
Back
Top Bottom