KOMBE LA KINA MAMA KUENDELEA KESHO

KOMBE LA KINA MAMA KUENDELEA KESHO

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Kama mnavyojua tanzania tunawakilishwa na kina mama kwenye kombe la wamama ambalo litaendelea kesho na muwakilishi wetu ni klabu ya simba a.k.a mbumbumbu fc najua kesho hii klabu itaenda kuchezea kichapo kikali sana aisee napenda kuwajulisha taifa linaenda kuingia aibu kesho
 
Kama mnavyojua tanzania tunawakilishwa na kina mama kwenye kombe la wamama ambalo litaendelea kesho na muwakilishi wetu ni klabu ya simba a.k.a mbumbumbu fc najua kesho hii klabu itaenda kuchezea kichapo kikali sana aisee napenda kuwajulisha taifa linaenda kuingia aibu kesho
Kombe la Losers aka akina mama-Kaduguda.
 
Kama mnavyojua tanzania tunawakilishwa na kina mama kwenye kombe la wamama ambalo litaendelea kesho na muwakilishi wetu ni klabu ya simba a.k.a mbumbumbu fc najua kesho hii klabu itaenda kuchezea kichapo kikali sana aisee napenda kuwajulisha taifa linaenda kuingia aibu kesho
Nanyie wa baba leo dakika 90 zinawahusu kumbukeni mnatatizo la kulenga hata kwenye mlango mkubwa, (matundu makubwa)
 
download (5).jpeg
 
Nanyie wa baba leo dakika 90 zinawahusu kumbukeni mnatatizo la kulenga hata kwenye mlango mkubwa, (matundu makubwa)
Weeeeeeeeeeeeeee...!! Acha kulinga nisha Yanga na vitu vya hovyo hovyo..!! Watu gani nyie ndani ya dakika 90 na za nyongeza juu bado hamkuwa na shuti hata moja lililolenga goli..!!! Mbumbumbu kabisa..!! Ngada zinawaharibu
 
Haya ni marudio huko unakopita tulishapita hakuna jipya bwana chura.
 
Back
Top Bottom