Kombe la Mapinduzi limekaa kimapindu sana

Kombe la Mapinduzi limekaa kimapindu sana

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kama unadhani kombe la Mapinduzi ni rahisi, basi waulize APR na Singida.

Kombe linaitwa Mapinduzi, maana yake muda wowote utarajie Mapinduzi. Mashindano ya kombe hili ni magumu sana.
 
Singida ndio ilitakiwa ibebe kombe hilo na si simba iliyozoeleka kuwa inajua mpira
 
Next time mashindano yatakosa mvuto kwa upuuzi ambao vyama vya mpira wanaendekeza simba kawa nani yeye bila kubebwa hana maajabu tunaona hata ligi kuu simba anatafutiwa matokeo na wamuzi na ndio maana wakikutana na timu yenye uwezo wa kuepuka makosa ya uwanjani simba huwa inafugwa

Na kwa mtindo huu simba kufugwa gori tano inaweza jirudia kabisa
 
Dakika zinaongezwa mpaka wasawazishe...
 

Attachments

  • IMG-20240111-WA0008.jpg
    IMG-20240111-WA0008.jpg
    78.9 KB · Views: 2
Next time mashindano yatakosa mvuto kwa upuuzi ambao vyama vya mpira wanaendekeza simba kawa nani yeye bila kubebwa hana maajabu tunaona hata ligi kuu simba anatafutiwa matokeo na wamuzi na ndio maana wakikutana na timu yenye uwezo wa kuepuka makosa ya uwanjani simba huwa inafugwa

Na kwa mtindo huu simba kufugwa gori tano inaweza jirudia kabisa
Km utopolo ilivyofungwa 3 kwa 0 na belouzdad, huku kwa league wakijifanya untouchable, Arajiga woyeeee.
 
Kama unadhani kombe la Mapinduzi ni rahisi, basi waulize APR na Singida.

Kombe linaitwa Mapinduzi, maana yake muda wowote utarajie Mapinduzi. Mashindano ya kombe hili ni magumu sana.
Halafu wanataka kurejesha ligi ya muungano, najiuliza sababu zilizopelekea isiwepo sasa zimesombwa na mafuriko?
Hapa ni siasa tu inayozingatiwa!
 
kuna mdau kauliza hapo Singida wangeongeza goli la pili nyinyi vyura mngelalamikia dakika zilizoongezwa?
Lawama ziko kwa goli la Simba siyo muda. Cross iliyopigwa na Ntibazonkiza iliupeleka mpira moja kwa moja nje ya uwanja, golikipa wa Singida kaudakia nje. Ilipswa kuwa goal kick, lkn kaamuru ipigwe kona iliyozaa goli
 
Lawama ziko kwa goli la Simba siyo muda. Cross iliyopigwa na Ntibazonkiza iliupeleka mpira moja kwa moja nje ya uwanja, golikipa wa Singida kaudakia nje. Ilipswa kuwa goal kick, lkn kaamuru ipigwe kona iliyozaa goli
Tukubaliane ni makosa ya kibinadamu kwa marefarii.msimu uliopita Yanga walipewa penati kwa faulo uliyotokea nje ya boksi CCM Kirumba.
kwaio haya mambo yanatokea maranyingi kwenye mechi za ligi kuu.ila yakitokea kwa Simba au Yanga kelele zinakua nyingi kutoka upande mmoja.
 
Lawama ziko kwa goli la Simba siyo muda. Cross iliyopigwa na Ntibazonkiza iliupeleka mpira moja kwa moja nje ya uwanja, golikipa wa Singida kaudakia nje. Ilipswa kuwa goal kick, lkn kaamuru ipigwe kona iliyozaa goli
Mimi nilidhani refa alitoa penati kumbe Kona!!!sasa hao Singida walishindwa nini wote kujaa golini kuzuia Kona isiwe goli??na kama Kross ilikuwa imetoka nje ilikuaje kipa akaudaka harakaharaka na kurudi nao ndani?si angeuacha utoke nje ili muda upotee kabisa!!tumia akili za kichwani na sio za makalioni
 
Mimi nilidhani refa alitoa penati kumbe Kona!!!sasa hao Singida walishindwa nini wote kujaa golini kuzuia Kona isiwe goli??na kama Kross ilikuwa imetoka nje ilikuaje kipa akaudaka harakaharaka na kurudi nao ndani?si angeuacha utoke nje ili muda upotee kabisa!!tumia akili za kichwani na sio za makalioni
Singida ni timu ya pili baada ya APR kuapa kutoshiriki tena haya mapumbuzi (siyo Mapinduzi). Mtashiriki wenyewe
 
Back
Top Bottom