Kuwatandika 1-5Upuuzi upo wapi? Kufungwa 3. 1 na APR
Mlifungwa. Hakunaga kuona mbali kwenye soka.Yanga waliona mbali sana.
Kam ww n mpenz wa mpira sio zuzu utajua kbs kwamb makosa yapo mengi sana. ila Kam n zuzu a.k.a gari la twend twend utabishaKuwatandika 1-5
watu mnasiri, kumbe kuna yanga B&C na hamsemi?!😳Sikujua kama kuna timu za mpira zinazojielewa bado zinalichukulia hili bonanza la mapinduzi serious kiasi hiki.
Nawapongeza Yanga sc kwa kulifanya sehemu ya mazoezi na kutest uwezo wa wachezaji wa kikosi B&C.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waliona mbali wapi?. Kifungwa 3 O na APR
Mimi ni Makolokolo kindakindaki nasema sisi bila mbeleko ni wepesi kuliko hata wepesi wenyewe.Sikujua kama kuna timu za mpira zinazojielewa bado zinalichukulia hili bonanza la mapinduzi serious kiasi hiki.
Nawapongeza Yanga sc kwa kulifanya sehemu ya mazoezi na kutest uwezo wa wachezaji wa kikosi B&C.
Afu Mapumbavu hukaza mafuvu kuwa Argentina haikupendelewa dhahiri, duniani malofa ni wengi sana...Hata kombe la dunia lilipangwa liende Argentina
Tulieni
Kuwatandika 1-5
Wewe hujawahi kukandwa 6,5,4 na simba?Tuliona mbali tukakukanda 5.