University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Hey Members!!
Katika kombe la Mapinduzi Zanzibar,
Leo ilikua zinacheza timu kati ya YANGA SC na MALINDI katika uwanja wa Aman Nchini Zanzibar.
Mpira umeisha dakika 90.
YANGA 1 na MALINDI 2.
Na YANGA wameaga mashindano hayo.
Katika kombe la Mapinduzi Zanzibar,
Leo ilikua zinacheza timu kati ya YANGA SC na MALINDI katika uwanja wa Aman Nchini Zanzibar.
Mpira umeisha dakika 90.
YANGA 1 na MALINDI 2.
Na YANGA wameaga mashindano hayo.