bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Kipindi cha Nyuma kulikua na Mashindano ya Kombe la Muungano Mufindi yakiwa yanafanyika Mji wa Mufindi na kushirikisha timu nyingi kutoka Nyanda za Juu Kusini
Ila baadaye yakaanza kushirikisha pia timu kutoka Tanzania Visiwani,Mashindano hayo yaliyokua yakiratibiwa na Ndugu Daudi Yasin yalikua na Mvuto wake na pia kufanikiwa kuibua baadhi ya Wachezaji ambao walikuja kuwika Ligi kuu ya Tanzania
Ila kwa miaka kadhaa sijayasikia tena haya Mashindano...
Ndo kusema muda wake ulikwisha au?
Ila baadaye yakaanza kushirikisha pia timu kutoka Tanzania Visiwani,Mashindano hayo yaliyokua yakiratibiwa na Ndugu Daudi Yasin yalikua na Mvuto wake na pia kufanikiwa kuibua baadhi ya Wachezaji ambao walikuja kuwika Ligi kuu ya Tanzania
Ila kwa miaka kadhaa sijayasikia tena haya Mashindano...
Ndo kusema muda wake ulikwisha au?