Kombe la Ndondo Limetisha Kuliko la Ligi Kuu Bara

Kombe la Ndondo Limetisha Kuliko la Ligi Kuu Bara

View attachment 284409
mdhamini wa michuano ya ndondo cup, dk mwaka (kushoto) akimkabidhi kombe la ubingwa wa michuano hiyo, nahodha wa faru jeuri, buji selemani mara baada ya timu yake kuishinda kauzu fc, leo.
kombe hilo la ndondo cup, michuano maarufu ya mchangani kwa kipindi hiki ni zuri na kubwa na inawezekana lina thamani kubwa kuliko lile la ligi kuu tanzania bara, ambalo walikabidhiwa yanga pia lile la kagame ambalo walipewa azam fc kwenye michuano ya kombe la kagame. Jambo ambalo ni sawa na maajabu ya nane ya dunia.

Hiyo kweli ndondo cup huyo captain anayepokea mwali ukikutana nae uso kwa uso mida mibovu lazima utoke mbio
 
Chama langu Kauzu Fc limeniangusha ila poa tu.
 
Chama langu Kauzu Fc limeniangusha ila poa tu.

Sie mikia mwaka kesho ni lazima tumcharaze huyo Faru Jeuri ili kombe lielekee m-simba-zii kwa maana haya ndiyo makombe yetu, kombe la Ligi Kuu tumewaachia ndala na lambalamba.
 
Back
Top Bottom