Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunarudi palepale...Simba ilicheza FAINALI MWAKA 1993.
Jamii forum kutoka great thinkers MBAKA kuwa na Nyuzi mbovu kiasi hiki.
Pole sana Jamii forum.
Hakuna, huyo aliyechukua kombe nchi hii yuko wapi?Tunarudi palepale...
""Kuna kombe la kucheza fainali?"
#YNWA
Muulize hiyo fainali ilikuwa ya nini!!?Tunarudi palepale...
""Kuna kombe la kucheza fainali?"
#YNWA
Mimi nimeahidi kuchangia mifuko 10 ya saruji. Maana anastahili kabisa. Mashabiki wengi wa simba ni vichomi.Wanamdhulumu sana yule mzee , sijui kwanini wanachelewa kumjengea mnara wake.
Hapana ila unaongeza point za ubora na kuvuta mpunga,mfn Yanga walikuwa nafasi ya 75 kabla ya robo, baada ya kutinga robo fainali sasa ni 20 bora kwa virabu africa, kupeleka timu kutinga robo fainali nibonge la promotion sana hata kama amna medali au kombe.Kuna timu tangu maisha ya soka yaanze hapa bongo wameishia kugota hatua ya Robo Fainali.
Asikuambie mtu!
Hakuna kitu wanalingia kama hiyo hatua year in year out. Ningependa Leo nionyeshwe medali au silverware inavyopewa timu baada ya kutinga hatua hiyo?
Hoja yako kombe au medali? Timu ikicheza fainali inapata medali na Simba mwaka 1993 ilipata medali ilipocheza fainali hivyo swali lako na hoja yako dhaifu imepata jibu.Ilichukua kombe!?
Fainali ya kombe Gani!?Hoja yako kombe au medali? Timu ikicheza fainali inapata medali na Simba mwaka 1993 ilipata medali ilipocheza fainali hivyo swali lako na hoja yako dhaifu imepata jibu.
ngoja wenye kujua kazi hizi young africans tuwaoneshe makolo timu ya mpira wa miguu inatakiwa i-achieve nini kwenye michuano mikubwaKuna timu tangu maisha ya soka yaanze hapa bongo wameishia kugota hatua ya Robo Fainali.
Asikuambie mtu!
Hakuna kitu wanalingia kama hiyo hatua year in year out. Ningependa Leo nionyeshwe medali au silverware inavyopewa timu baada ya kutinga hatua hiyo?
Amewahi kucheza fainali ya Kombe la CAF mwaka 1993Inamaana Simba hawajawahi cheza fainali yoyote huko kimataifa?
Kumbe na wewe ni dogo wa juzi tu. Tulieni humu mtayajua yote taratibuFainali ya kombe Gani!?
Jibu swali!Kumbe na wewe ni dogo wa juzi tu. Tulieni humu mtayajua yote taratibu
Kombe la CAF 1993Jibu swali!
Miye nikajua ni shirikishoKombe la CAF 1993
Fainali : Simba vs Stella Abidjan