Kombe la Shirikisho Africa: Yanga yapata ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Welayta Dicha

Kombe la Shirikisho Africa: Yanga yapata ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Welayta Dicha

Tatizo timu za Tanzania siku zote kiwango hakipandi sababu wanadhamini wachezaji WA nje wakati Tanzania Ina vipaji vingi.wafungaji wote mechi ya jana Ni WAtanzania.
wachezaji WA nje wanachukua ela Tu hawana jipya wangekuwa na jipya wangeenda south Africa,north Africa au europe.
mechi ya yanga v Botswana wachezaji WA nje walikuwa wanakimbia Tu bila mbinu yoyote magoli hawafungi.
Goli la Yanga Dar alifunga Chirwa

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom