Kombe la Shirikisho Afrika: BDF XI vs Yanga [27 Feb 2014]

Kombe la Shirikisho Afrika: BDF XI vs Yanga [27 Feb 2014]

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Matokeo : BDF XI 2 - Yanga SC 1

============ Yanga imesonga mbele kwa jumla ya magoli 3-2
============


27-11-2012-sports-1354008668_51_jpg


Mechi za kombe la shirikisho barani Afrika kwa ngazi ya vilabu zinaendelea mwishoni mwa wiki hii.


Wawakilishi wa Tanzania Bara Young Africans SC watakuwa ugenini nchini Botswana wakimenyana na BDF XI ya nchini humo ikiwa ni mechi ya marudio hatua ya awali.


Mechi hii ya leo itachezwa ndani ya uwanja wa Lobatse uliopo mji wa Lobatse, kutoka Lobatse hadi Gaborone mji mkuu wa Botswana ni takribani kilometa 75.


Ikumbukwe Yanga inaingia kwenye mchezo wa leo tayari ikiwa kibindoni na magoli mawili iliyoyapata katika mchezo wa awali uliochezwa Dar es Salaam, huku pia ikiwa na ushindi wa mechi mbili mfululizo katika ligi kuu bara.

Hali ya hewa ya mji wa Lobatse kwa siku ya leo ni jotoridi la wastani wa nyuzi 21 huku kukiwa na jua kiasi, vipindi vifupi vya mawingu huku upepo ukivuma kwa kasi ya 13km kwa saa.

Mechi itaanza kuchezwa saa 2 usiku kwa masaa ya Tanzania.

BDF XI - Yanga SC

(Agg: BDF XI 0 - 2 Yanga SC)

MUDA
2000HRS EAT


Get


NOTE: Mechi hii itarushwa moja kwa moja na kituo cha Azam Two
(Livestream:http://196.41.40.253/flash.html)

Mungu Ibariki Yanga, Mungu Ibariki Tanzania

Matokeo ya Mwisho: BDF XI 2 - 1 Yanga Afrika (Aggregate 2-3)

**Yanga imefuzu kwa hatua inayofuata ya Kombe la Shirikisho
 
mechi itachezwa saa 2030 yaani saa mbili na nusu usiku kwa saa za Tanzania
 
mechi itachezwa saa 2030 yaani saa mbili na nusu usiku kwa saa za Tanzania

Mbona azam tv kwenye fb page yao wameandika saa 18:00 jioni au na wao wamekosea!!!! Game inaleta utata juu ya muda ambao mechi hii itachezwa....
 
27-11-2012-sports-1354008668_51_jpg


Mechi za kombe la shirikisho barani Afrika kwa ngazi ya vilabu zinaendelea mwishoni mwa wiki hii.

Wawakilishi wa Tanzania Bara Young Africans SC watakuwa ugenini nchini Botswana wakimenyana na BDF XI ya nchini humo ikiwa ni mechi ya marudio hatua ya awali.

Mechi hii ya leo itachezwa ndani ya uwanja wa Lobatse uliopo mji wa Lobatse, kutoka Lobatse hadi Gaborone mji mkuu wa Botswana ni takribani kilometa 75.

Ikumbukwe Yanga inaingia kwenye mchezo wa leo tayari ikiwa kibindoni na magoli mawili iliyoyapata katika mchezo wa awali uliochezwa Dar es Salaam, huku pia ikiwa na ushindi wa mechi mbili mfululizo katika ligi kuu bara.

Hali ya hewa ya mji wa Lobatse kwa siku ya leo ni jotoridi la wastani wa nyuzi 21 huku kukiwa na jua kiasi, vipindi vifupi vya mawingu huku upepo ukivuma kwa kasi ya 13km kwa saa.

Mechi itaanza kuchezwa saa 2 usiku kwa masaa ya Tanzania.


BDF XI - Yanga SC

(Agg: BDF XI 0 - 2 Yanga SC)

MUDA
2000HRS EAT


Get


NOTE: Mechi hii itarushwa moja kwa moja na kituo cha Azam Two
(Livestream:http://196.41.40.253/flash.html)

Mungu Ibariki Yanga, Mungu Ibariki Tanzania​
 
Kwenye hali ya hewa na mwendo kasi wake umeniacha hoi......kila la kheri Kuala lumpur
 
Yanga timu funga hao wanajeshi goli 3-1 tu zinatosha.
 
Azam tv kamakawaida itakuwa nanyi kuwapa rahaya moyoni sty tuned
 
Kila la heri yanga. Ila yanga inabidi waweke ulinzi kwenye hotel yao maana watswana ni visu balaaaaa.
 
Back
Top Bottom