Kombe la Shirikisho Afrika | CD DE Agosto Vs Namungo FC, Uwanja wa Azam Complex

Kombe la Shirikisho Afrika | CD DE Agosto Vs Namungo FC, Uwanja wa Azam Complex

Lkn pia tutoe shukrani mwa timu ya Roho mbaya kwa kuhakikisha Wachezaji wa Agosto watano wa Kikosi cha kwanza Wanakutwa na Corona na kutupwa Carantini. Wao waliweka Karantini Watatu, Sie tumetia 6 yaani Safu ya Ulinzi yote kuanzia kwa Golikipa hadi Beki 5 jumlisha na Mratibu wa Timu wooote tumewatia Karantini kwa gharama zao. Naaaamini wataenda kusimulia kwao na siku nyingine watawaheshimu Watanzania mnooo.

Safi sanaaa

Ile hali ya huruma huruma na kuwakarimu wageni wanapokuja nchini tuliyokuwa nayo miaka ya nyuma sasa haipo tena,, ukitufanyia figisu kwako basi ujue hatukuachi salama utakapokuja nchi kwetu
 
Hapo wachezaji wengine wamezuiliwa Angola kwa Corona, halafu Charles Manyama sijui alikuwa anafikiria nini haoni mwenzake Lusajo kajirudi
Yule dogo sijui ana akili gani anatoka Namungo iliyoko Kweye mashindano ya kimataifa anaenda kujiunga na timu ambayo haina malengo ya kufika popote zaidi ya kukamia mechi na mtibwa tu.

Ujinga ni mzigo
 
Lkn pia tutoe shukrani mwa timu ya Roho mbaya kwa kuhakikisha Wachezaji wa Agosto watano wa Kikosi cha kwanza Wanakutwa na Corona na kutupwa Carantini. Wao waliweka Karantini Watatu, Sie tumetia 6 yaani Safu ya Ulinzi yote kuanzia kwa Golikipa hadi Beki 5 jumlisha na Mratibu wa Timu wooote tumewatia Karantini kwa gharama zao. Naaaamini wataenda kusimulia kwao na siku nyingine watawaheshimu Watanzania mnooo.
Kaka! Kweli hii?

Aisee inamaana quarantine kwa Tanzania imeanza na CD de Agosto! 😃
 
Kwahiyo Namungo kashinda Ugenin Goli 6, hivyo JW ya Angola aka Agosto wanatakiwa kushinda gemu ijayo Goli 4 bila majibu ili waweze kusongambele. Natamani Namungo waende kuchezea Ruangwa kabisaaa ili wawanyooshe vzurri ***** zao
Anatakiwa kushinda 5 - 0 ili avuke na sio 4 - 0.
 
Msimu ujuo tufanye kila tunaloweza utopolo asiguse mashindano ya kimataifa, atachelewesha nchi kujipatia ufanisi kwenye eneo hilo.
Utopolo mtusamehe, jipangani kwanza miaka minne au mitano ijayo mtashiriki
 
Lkn pia tutoe shukrani mwa timu ya Roho mbaya kwa kuhakikisha Wachezaji wa Agosto watano wa Kikosi cha kwanza Wanakutwa na Corona na kutupwa Carantini. Wao waliweka Karantini Watatu, Sie tumetia 6 yaani Safu ya Ulinzi yote kuanzia kwa Golikipa hadi Beki 5 jumlisha na Mratibu wa Timu wooote tumewatia Karantini kwa gharama zao. Naaaamini wataenda kusimulia kwao na siku nyingine watawaheshimu Watanzania mnooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamati ya roho mbaya imefanya kazi yake ipasavyo
 
Ndo uache tabia ya kutaja kiungo ulichokigusa wakati unatoka kwenye uterus.
Uache pia kuifananisha Simba na timu za ajabu ajabu, after all hakuna kipya kwenye via vya uzazi.

Na sio kila mtu alipitia njia ya Uke wengine Ceasarean Section Ilihusika.
 
Yule dogo sijui ana akili gani anatoka Namungo iliyoko Kweye mashindano ya kimataifa anaenda kujiunga na timu ambayo haina malengo ya kufika popote zaidi ya kukamia mechi na mtibwa tu.

Ujinga ni mzigo
Mzee huko namungo mshahara hakuna unategemea nini?
 
21 February 2021
Dar es Salaam, Tanzania

CD 1o de Agosto beaten 2- 6 by Namungo FC

The CD 1o de Agosto lost by an impressive margin 2-6 against Namungo FC of Tanzania, in an important stage that can take them to group stage of the Confederation Cup football.

The match played at Chamazi stadium, the Angolan representative succumbed to opponent's pressing game, in a match which CD Agosto played without their 5 first eleven key players, allegedly for having tested positive for the Covid-19 test.

1º de Agosto goleado na Tanzânia
21-02-2021 | Fonte: Angop
20210221225545.jpeg

O 1.º de Agosto perdeu neste domingo por expressivos 2-6 diante do Namungo FC da Tanzânia, em jogo referentes à última eliminatória de acesso à fase de grupos da Taça da Confederação em futebol.
Disputado no estádio Chamazi, o representante angolano sucumbiu ante ao jogo ofensivo do adversário, numa partida em que se apresentou sem cinco jogadores influentes, alegadamente por terem acusado positivo ao teste da Covid -19.
As entidades tanzanianas comunicaram a existência de seis casos, o guarda-redes Neblú, os centrais Bobó e Boni, o médio Mário, o avançado Mabululu e o Coordenador da equipa, Untonesa Sampaio.
A jogar sob protesto, o 1.° de Agosto alinhou com o seguinte onze: Toni, Isaac, Jó, Macaia, Paizo, Buá, Herenilson, Edmilson, Mongo, Moya e Zine.
Por força da decisão do Comité de Competições da CAF, após o cancelamento da partida da primeira mão, que devia disputar-se dia 14 último no estádio 11 de Novembro, em Luanda, os “militares” foram obrigados a jogar as duas partidas da eliminatória no reduto do Namungo FC.
Naquela ocasião, quatro ajogadores da equipa tanzaniana acusaram positivo.
Assim, a segunda mão disputa-se na próxima quarta-feira, no mesmo estádio.
Source : 1º de Agosto goleado na Tanzânia - ANGONOTÍCIAS
 
Patashika ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kuendelea kutimua vumbi leo February 21, 2021 kwenye uwanja wa Azam Complex, ambapo wenyeji CD De Agosto wanapambana na Namungo FC

===========

Namungo FC wakiwa ugenini kwa mujibu wa kanuni, wametakata vilivyo baada kuiadhibu bila huruma Cd de Agosto mabao sita kwa mawili katika mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa Azam Complex

Mabao ya Namungo yakifungwa na Manyanya 32' Sabilo 38' 55' akifunga mabao mawili, Lusajo 59, Kwizera 68' na Stephen 71' Sey

Mchezo wa pili utafanyika siku ya Jumatano kwenye uwanja huo huo wa Azam Complex, Namungo FC wakiwa wenyeji ambapo Namungo FC wanahitaji sare tu kutinga makundi kombe la Shirikisho Afrika.

FT: Cd de Agosto 2-6 Namungo FC



View attachment 1708347

Safi sana!!
 
21 February 2021
Dar es Salaam, Tanzania

Dr Virgílio fala dos 5 jogadores com suposto teste positivo de Covid - 19




Source: 1o de Agosto
 
Ili kuiepusha nchi na aibu kimataifa nashauri namungo wapewe nafasi msimu ujao kuiwakilisha nchi confederation hata wasipobeba FA. Simba nafasi ipo pale pale. Uzalendo kwa nchi kwanza
Kaka wanafuata Kanuni za Mashindano ambazo zinahitaji washindi wanne wa mwanzo Kwenye VPL waende CAFCL au mshindi wa pili aende CAFCC endapo Bingwa atabeba makombe yote mawili ya Ligi na FA
 
Back
Top Bottom