Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Kaniambia tumepigwa 4 bila, ikabidi niwe mpole. Simba sio watu wazuri kabisa.
DuuuuuuhKaniambia tumepigwa 4 bila, ikabidi niwe mpole. Simba sio watu wazuri kabisa.
Haya mambo ya yangayakuwashia nini?Hongereni Vyura FC Kwa Kushinda Mchezo Wa Leo Na Kufanikiwa Kuongoza Kundi Lenu
James Delicious au?Hongereni Vyura FC Kwa Kushinda Mchezo Wa Leo Na Kufanikiwa Kuongoza Kundi Lenu
Kisokorokwinyo Makambo yanini Zari kitoko nacheka Kimanji khokhokhooHongereni Vyura FC Kwa Kushinda Mchezo Wa Leo Na Kufanikiwa Kuongoza Kundi Lenu
Tambua kuwa hiyo ndoo umeishika kwa muda tu
Nipo sana tu best yangu. Leo Yanga imenipa furahaNiko poa best, umeadimika kweli.
Kama furaha akupayo wifi yangu. Mzima lakini best?Nipo sana tu best yangu. Leo Yanga imenipa furaha
Manji ni nooomwaaaaaNipo sana tu best yangu. Leo Yanga imenipa furaha
Hahaha sio wifi bali ni mawifi mambo mengi yametokea hapa katikati. Nipo mzima tuKama furaha akupayo wifi yangu. Mzima lakini best?
Yanga pia nomaaaKama furaha akupayo wifi yangu. Mzima lakini best?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Tambua kuwa hiyo ndoo umeishika kwa muda tu
Aaaaah!! Best unaniangusha sasa. Why[emoji134] [emoji134] [emoji134]Hahaha sio wifi bali ni mawifi mambo mengi yametokea hapa katikati. Nipo mzima tu