Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Karibu Dada yangu Kipenzi.Niko hapa dada nimekuja jamani
Vp habari za Taifa unazo? ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu Dada yangu Kipenzi.Niko hapa dada nimekuja jamani
Usione aibu dada. Ndio mpira huo. πππAibu naona mimi
Wajiskiaje na hali hapo Shadeeya unahisi kama Yanga imeshinda eeh? Kucheza na hivi vitimu vidogo kazi sana, nyie mnacheza soka mara mtu kakurukia kichwani, mara wawaroge hata kama ni timu ya Jeshi basi kaaazi kwelikweliMpaka sasa Mashujaa 3 na Wakimataifa Simba 2. ππππ
Utamuona atakavyotunanga baada ya mechi, unafikiri!? hapo kasema leo haongei kumbe anatucheka tuSema kweli jamani
Nasikia Wakimataifa kaingizwa mjini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumekufa katika uwanja uleule tuliowanyolea Wazambia, amakweli Imba akishiba hua hawindi tenaSimba 2-Mashujaa 3
Sina dada kuna habari gani etiKaribu Dada yangu Kipenzi.
Vp habari za Taifa unazo? [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Jirani nimekuachia huko upambane mwenyewe, mie nimeshindwa na nimekubali matokeo.πππ jiraaaani. Kama nakuona.
Mkuu na wewe kumbe ni simbaAibu naona mimi