mchumi tumbo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 832
- 992
Etii eenh nitarudi dadaUsione aibu dada. Ndio mpira huo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahhaha namjua mimi kanitoa chit chat hukoUtamuona atakavyotunanga baada ya mechi, unafikiri!? hapo kasema leo haongei kumbe anatucheka tu
Nikwambie kitu Shadeeya, Simba akishiba hua hasumbuki kuwinda vinyama vidogovidogo😎😎😎Usione aibu dada. Ndio mpira huo. 😂😂😂
Simba damu kapwilMkuu na wewe kumbe ni simba
Tulifanya kosa pia kumtoa Nduda, huyu munishi ni hamna.
Goli la tatu nila Munishi, goli gani lile la kufungwa.Tulifanya kosa pia kumtoa Nduda, huyu munishi ni hamna.
Mtapata tabu sanaSimba damu kapwil
HahahaHuyo mchaga hajaenda moshi kula Christmas
Amka usingizini, kumeshakuchaSimba hii kuiangalia inaongeza afya mwilini[emoji1]
Hivi ule utaratibu wa kulipia mechi msimu mzima bongo hakuna?