Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC): Simba SC 2-3 Mashujaa FC | Uwanja wa Taifa, Dar es salaam | 26/12/2018

Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC): Simba SC 2-3 Mashujaa FC | Uwanja wa Taifa, Dar es salaam | 26/12/2018

Sijawahi kumwamini Deogratias Munishi toka akiwa Simba akenda Yanga na sasa yupo Simba tena. Ni bora wakamtema na kusajili Kakolanya
 
Kipigo Cha Leo sio habari nzuri kwa Timu ya matopeni nashangaa wanafurahia maana Moto tunauamisha kwenye TPL na wenyewe wanajua wana point zetu tatu mechi ya marudiano...shabiki anaejua mpira angependa Simba aendelee mbele ili ratiba za TPL,CAF,FA ,Mapinduz zimbane ila Kama tumetema mzigo huku "Nguvu moja"tunahamishia TPL Bora punda afe mzigo wa wa watu ufike...ni habari njema pia Mashabiki wa Mnyama kwani siye dhumuni letu nikuwakilisha nchi kwenye Klabu bingwa kwa miaka mi 5 mfululizo na ili uwakilishe lazime uchukue ligi...TPL ndio first priority yetu"Nguvu moja"
 
Ligi tunabeba na Yanga hawataamini kabisa.
Natunza muda
 
Kwa matokeo haya mtu wa simba unaweza mshika kichwa
......
Akakwambia achia shati langu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kipigo Cha Leo sio habari nzuri kwa Timu ya matopeni nashangaa wanafurahia maana Moto tunauamisha kwenye TPL na wenyewe wanajua wana point zetu tatu mechi ya marudiano...shabiki anaejua mpira angependa Simba aendelee mbele ili ratiba za TPL,CAF,FA ,Mapinduz zimbane ila Kama tumetema mzigo huku "Nguvu moja"tunahamishia TPL Bora punda afe mzigo wa wa watu ufike...ni habari njema pia Mashabiki wa Mnyama kwani siye dhumuni letu nikuwakilisha nchi kwenye Klabu bingwa kwa miaka mi 5 mfululizo na ili uwakilishe lazime uchukue ligi...TPL ndio first priority yetu"Nguvu moja"
acha maneno mengi mshapigwa.
 
Hii pia iko poa,
IMG-20181216-WA0000.jpg
 
Ndugu yangu ni kweli yeye ni msema ovyo na hana sifa za kuwa kiongozi wa soka, lakini tafadhali usihusishe suala la ulemavu..tujadili soka na siyo ulemavu...yeye hakupenda kuwa mlemavu...ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu...tuache mambo ya ulemavu, sura, kabila, rangi na kadhalika...tujadili soka tu..
Ana maneno machafu sana yule jamaa yenu.. Na ndio anafanya watu wamtukane hata kwenye page yake ya instagram
 
Ndugu yangu ni kweli yeye ni msema ovyo na hana sifa za kuwa kiongozi wa soka, lakini tafadhali usihusishe suala la ulemavu..tujadili soka na siyo ulemavu...yeye hakupenda kuwa mlemavu...ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu...tuache mambo ya ulemavu, sura, kabila, rangi na kadhalika...tujadili soka tu..
Kwani Manara siyo zeruzeru?
 
Kwani Manara siyo zeruzeru?
Kwa asili jina zeruzeru ilikuwa ni dharau au tusi na haikuwa na maana ya rangi ya ngozi moja kwa moja. Na hiyo ilitokana na uelewa mdogo wa Watanzania wakati ule sababu za kwa nini Mtu anazaliwa albino.

Ndiyo maana kwa baadhi ya jamii nyakati zile Albino alikuwa akizaliwa anaonekana kama mkosi na kutupwa au kuuwawa!

Hii ni sawa na neno kiwete, wataalam wakatuambia neno sahihi mlemavu, kwa sababu kiwete kwa asili ni neno la dharau na kashfa.

Sisemi haya kumtetea Mtu. Ni uungwana tu. Mimi mwenyewe shabiki wa Yanga lakini haitotokea kumuita Haji Zeruzeru
 
I understand. Simba timu kubwa sana. Level yao sio kucheza na Mashujaa. Level yao ni timu kama Al Aly, Esperance, TP Mazembe, Libolo, Asec Mimosa nk.
It was just a minor slip.
unadhani kila siku ..refa atakuwa mkenya
 
Back
Top Bottom