Kombe la Shirikisho Live: Yanga Afrika vs Etoile du Sahel

Kama ulitazama qualifications za AFCON last time walikuwa wa kawaida tu...

Mimi nilitazama mechi zao, sio kwamba wanatisha kivile...

Hata hivyo si wa kuwabeza ila tunawaweza...

Na kwa super eagles jee???
 
Mimi nawaombea YANGA watolewe ili tuishi kwa raha mustarehe....maana wakipita hawa tutafuta pa kukaa huku mtaani....
 
Mimi nawaombea YANGA watolewe ili tuishi kwa raha mustarehe....maana wakipita hawa tutafuta pa kukaa huku mtaani....
Hamna lolote ninyi mikia fc!!! Mmebaki kuiombea mabaya yanga ilihal kwenu mambo yakizidi kudidimia.
 
wameona huku ndo pa kuondolea stress za bao 2
 
Daaah timu yangu simba tuliongea sana hii game,mbeya city tumewashindwa msimu huu wametupiga nje ndani...uongozi uangalie hili swala la usajili vizuri
 
Kama umefuatilia maelezo yangu toka mwanzo utakuwa una kichwa kibovu kama mapunda kwako ni mtoto!
Nesema tuna "watoto" wengi, sijasema wote ni "watoto".

Mnatakiwa mshtakiwe kwa kuwaajili 'watoto'.Halafu hao mnaowaita 'watoto' ni vijeba.
 
Kama umefuatilia maelezo yangu toka mwanzo utakuwa una kichwa kibovu kama mapunda kwako ni mtoto!
Nesema tuna "watoto" wengi, sijasema wote ni "watoto".

Taja mtoto unayemfahamu pale simba ambae ana umri chini ya miaka 18. halafu kama yupo, kwa nini mlimsajili wakati mnajua kuwa ni mtoto hataweza kuisaidia timu??
 
Taja mtoto unayemfahamu pale simba ambae ana umri chini ya miaka 18. halafu kama yupo, kwa nini mlimsajili wakati mnajua kuwa ni mtoto hataweza kuisaidia timu??

Kwani kaka,kina manyika,isiaka,ndemla,kessy,tshabalala,ajibu,wapo sawa kwa umri na kina Joshua,canavaro,yondani,ngasa,niyonzima,twite,na sherman.?
Swala la msingi ni kusema na kukubali kuwa. Wachezaji wa simba wengi hawana hadhi ya kucheza simba na pia hawana uzoefu wa kutosha.
 

kwa nini mliwasajili wakati hawana hadhi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…