ahmed deedat
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 350
- 210
Kama ulitazama qualifications za AFCON last time walikuwa wa kawaida tu...
Mimi nilitazama mechi zao, sio kwamba wanatisha kivile...
Hata hivyo si wa kuwabeza ila tunawaweza...
Na kwa super eagles jee???