Taja mtoto unayemfahamu pale simba ambae ana umri chini ya miaka 18. halafu kama yupo, kwa nini mlimsajili wakati mnajua kuwa ni mtoto hataweza kuisaidia timu??
tumechoka na visingizio vyenu. hao mnaowaita watoto si mliwasajili wenyewe? kwani mlilazimishwa kuwasajili?. kwa nini msisajili wakubwa kama walivyofanya YANGA wakaisadia timu?.. cha msingi ni kukubali kuwa SIMBA NI MBOVU sio kuleta visingizio vya ajabu ajabu ...mjipange tena......