barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Taja mtoto unayemfahamu pale simba ambae ana umri chini ya miaka 18. halafu kama yupo, kwa nini mlimsajili wakati mnajua kuwa ni mtoto hataweza kuisaidia timu??
Tulia kwanza!
Kabla ya yote, unajua maana ya " ", au kama nilivyoandika "watoto"? unajua maana yake! Ebu jipange kwanza usianze kubwabwaja!