Kombe la Shirikisho Live: Yanga Afrika vs Etoile du Sahel

Hiki kikosi ni wewe umekipanga au ndicho kitaanza leo?

Hata kama ni yeye kapanga atakuwa amepatia asilimia 99.99, kama siyo Dilunga basi sherman ndani ya nyumba. Watu8 hujambo lakini ?
 
Yanga inaanzia nyumbani ni kutokana sababu za upangwaji ratiba.. mara nyingi si CAF hata UEFA na FIFA ratiba hupangwa kwa kuangaliwa ubora wa viwango vya mpira vya nchi au vilabu husika!..

Ndiyo maana hata UEFA timu kama Madrid, Barcelona au B. Munich lazima zianzie ugenini. So mkubwa anakuwa favoured
 

Kaka hiyo taarifa yako ni ya uhakika
 
Hivi tbc2 kuna vifurushi vya siku au wiki nilipie ili niangalie huu mtanange? Kweli nimeona michezo sio kipaumbele ktk nchi. Yani tv ya taifa kuangalia michezo nilipie ten?

Mkuu tbc2 bule mardi uwe na king'amuzi cha startimes
 
Kungekuwa na uwezekano wa kubadilisha makao makuu ya CAF yangebadilishwa kwa maana CAF ipo kwa ajili ya kuzibeba timu za ukanda wa kaskazini-magharibi kwa mfumo wa upangaji wa ratiba yao.

Lipia kwa mpesa buku 2 wamakupa siku 4
 

Kwa hiyo wale BDF na Platnum kumbe walikuwa wazuri kuliko Yanga. Mbona wengi walisema tulilpangiwa na timu dhaifu ?. Mana wote hawa tulianza nao huku
 
Last edited by a moderator:
Mpaka sasa goli 2-0...ila la pili ndio limeingia sasahivi..wao watapata goli moja. Tutapata na penati moja sasa hii penati tukifunga tumepeta. Mpira kwa muhtasari ndio huo.

Aisee huu muhtasari ni babkubwa!
Na iwe hivyo inshaallah!
 
Na hii mvua Yanga ndio hawapatani nayo kabisaa! Hapo utasikia Simba wameroga!
 
Kikosi cha Yanga kinachoanza leo dhidi ya Etoile du sahel......
1.Ally Mustapha "Barthez"
2.Juma Abdul Mnyamani
3.Oscar Fanuel Joshua
4.Kelvin Patrick Yondan
5.Nadir Haroub Cannavaro
6.Mbuyu Junior Twite
7.Simon Happygod Msuva
8.Hassan Saleh Dilunga
9.Amiss Jocelyn Tambwe
10.Mrisho Halfan Ngassa
11.Haruna Hekizimana Niyonzima.

SUB---
Deogratius Munishi "Dida"
Rajabu Zahir
Juma Said Makapu
Kpah Sean Sherman
Andrey Coutinho
Danny Mrwanda
Nizar Halfan

Kocha mkuu-
Hans van der Pluijm

Kocha msaidizi-
Charles Boniface Mkwasa

Daktari wa timu-
Juma Sufiani

Meneja wa timu-
Afidh Saleh.

Kila la kheir dar young africans.

YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…