Kombe la Shirikisho Live: Yanga Afrika vs Etoile du Sahel

Twatakiwa kuweka uzalendo kwa watan wetu japo kushinda leo nindoto
 
Twatakiwa kuweka uzalendo kwa watan wetu japo kushinda leo nindoto

uzuri wa game ya leo wakishinda Tanzania tutaongezewa nafasi kwenye mashindano kutoka mbili hadi tatu hii itakuwa na maana mwakani itakuwa Yanga, Simba, Azam hii ni faraja Kwa Taiga letu lakini yanga akifungwa kama kawaida kama ukawa nitashangilia tu maana hakuna namna nyingine...
 
Mlioko uwanjani vipi huko gemu ishaanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…