Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Hapa yanga wawatundike hawa waarabu kama goli tatu au nne.
Mkuu toka uanze kuandika humu Leo ndo nimefurahia uandikaji wako. Anyway Leo waarabu koko wetu na tutawapiga nyingi ili hata wakileta fitna kwao tunawakalisha