Kombe la Shirikisho: Medeama yaifunga Yanga 3-1 hatua ya makundi

Bora hata wangeenda kauzu fc, yaani yanga walikuwa wanatafuta mpira kwa torch, hadi huruma
 
umenikumbusha na kile kibwagizo cha miaka ya 90 tulikua tukiimba:
yanga kainaama, medeama kam ..... dole
Hahaha huo ulikuwa ni Noma... Fujo lazima... Kuna Mmoja Tulikuwa Tunamuimba kipa peke yake tu..

''Golikipa'' wengine wanaitikia ''Mzee'' Huku Mnapiga Makofi kila baada ya sekunde Mbili
''kainama'' mnaitikia ''Mzee''
''kainuka'' Mnaitikia ''Mzee''
Wote tunamalizia ANAONA HAYA HUYO...hapo kama yupo karibu mnampiga Masinki na kama Mnamjua kwa Jina lake pale kwenye kiitikio cha Mzee hamsemi Mzee mnaweka jina lake
 
Yanga imejaa Wachezaji, Makocha, Wakufunzi wenye mbinu na weledi wa KUFUNGWA mechi za kimataifa. Siku ikiamriwa Bingwa ni yule aliefungwa mechi nyingi zaidi za kimataifa Yanga itazoa vikombe vingi sana.
 
Kushangalia timu sio dhambi haijalishi ikoje km VP hama nchi pia sbb Tz mbovu shabikia Ureno
Mkuu, mbona povu? Rudia kusoma comment yangu taratibu then urudi. Attack hoja usiniattack mimi.
 

Unapoizungumzia simba usiichanganye na vitu vya ajabu kama yanga.
 
Wanasimba wenzangu tuwe makini ukijichanganya unakula ban, ndani ya uzi kama huu siku ya TP Mazembe na jamaa ulinigharimu.

Hata hivyo, hawa ni vibonde wa kimataifa, kitendo cha kufungwa na timu ndogo inayoshika nafasi ya 10 kwenye msimamo ni fedheha kwa Taifa. Bingwa kaenda kupigwa 3 na kibonde wa kutupwa.

"Kweli hainaga ushemeji tunakulaga, zamu yako itafika baharia wangu usijali. Coastal Union kapita, Mo Bejeila kapita, Mazembe naye kapita. Tunakulaga, hainaga ushemeji tunakulaga, Medeama naye kapita [emoji1] [emoji2] [emoji2]" by Man Fongo.
 
WALISTUKIA GOLI NYINGI wakawa wanapoteza muda kiaina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…