mwaka gani?Duh! Watani bwana hamjambo. Mnashangilia kuingia makundi kumbukeni hili shindano la shirikisho sisi wekundu tulifika fainali tena kwa kuzitoa timu ngumu. Mnayo changamoto mbele cha msingi msifurahie makundi kaeni mjenge timu ya ushindani maana mnakoelekea ni pagumu sana.
Kila la heri
Hata kama 1950 ninyi mlifika final mwaka ganimwaka gani?
Soma hapo chinimwaka gani?
Soma hapo chiniView attachment 749161
Yeah we lost.Mlifungwa na STELLA fc? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Michuano aliyoshiriki Simba wakati huo ilikuwa yanashirikisha timu zilizoshika nafasi za 3 kwenye ligi za nchi zao, wakati huo yalikuwepo mashindano 3 tofauti.Soma hapo chiniView attachment 749161
Achana nao, Utawaweza hao??!!Mikia FC kwa wivu.
Kwa hiyo michuano hiyo ilikuwa dhaifu kulinganisha na ya sasa?Michuano aliyoshiriki Simba wakati huo ilikuwa yanashirikisha timu zilizoshika nafasi za 3 kwenye ligi za nchi zao, wakati huo yalikuwepo mashindano 3 tofauti.
Atakwambia umtumie kwa kihaya hapo hajaelewaSoma hapo chiniView attachment 749161
Michuano aliyoshiriki Simba wakati huo ilikuwa yanashirikisha timu zilizoshika nafasi za 3 kwenye ligi za nchi zao, wakati huo yalikuwepo mashindano 3 tofauti.
Nilikuwa naskia ATEKENYAAA ATEKENYAA tu bora umeisha
[emoji56][emoji56][emoji56]Wakati huo Yanga haikuwepo?
mlitolewa na stella ambayo haijulikaniYeah we lost.
Usimsikilize hyo ni zaidi ya 600 ml kuna 400 za sportpesa kuna 53 za macron bdo kuna mipunga mingine hko km tutafanya vzr kwenye makundi!Hata hizo 300 Sio mbaya
Yaani imewauma kishenzi!Wa michangani Endeleeni kujifariji
Nadhani kamaanisha nusu fainali really ukifika nusu fainali mwakani unashiriki hata bila ubingwa mziki upo kwenye kufika hyo nusu fainali!He ukifanya vzr group stage unashiriki mashindano yajayo.sheria hiyo imeanza lini