avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
mwaka gani?Duh! Watani bwana hamjambo. Mnashangilia kuingia makundi kumbukeni hili shindano la shirikisho sisi wekundu tulifika fainali tena kwa kuzitoa timu ngumu. Mnayo changamoto mbele cha msingi msifurahie makundi kaeni mjenge timu ya ushindani maana mnakoelekea ni pagumu sana.
Kila la heri