Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
-
- #41
Yanga mojaa mamiiii....tunatafuta goli moja tu la awayKumbe na wewe ni yanga....
Tuiombee timu yetu ipate kusonga mbele
Hajar
Hahahaaa. Kama nakuona vile dua yako ya moyoni. [emoji85]Niliahidi Kuja Kusapoti Tanzania Yangu Zidi Ya Ditcha
Kweli kabisa Mtani.Itatakiwa wacheze kama wako nyumbani kujiamini na kushambulia. Lakini naona wanajilinda zaidi Yanga.
Hiyo itasaidia
Ndio hapo aisee. Na njaa hii tuliyonayo tukifanikiwa kuzipata zitatusogeza kidogo.Wanataka tukose mil. 600 [emoji24][emoji24][emoji24]
Nipo shoga ila sielewi hata tunachokicheza pale.Kumbe na wewe ni yanga....
Tuiombee timu yetu ipate kusonga mbele
Hajar
Ndio hapo aisee. Na njaa hii tuliyonayo yukifanikiwa kuzipata zitatusogeza kidogo.
Sijui wamekula maharagwe ya wapi dahNipo shoga ila sielewi hata tunachokicheza pale.
Mifuko ya watu kaka.alafu aijaelewa njaa imetoka wapi
Sport Pesa
Vodacom
Azam (Tv rights)
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Nyuma mwiko.Yanga daima mbele
Mmh. Uwepo hadi kipyenga cha mwisho Mkuu.Yanga Leo ,yakipungua sana anakula5
yuko bongo hapame nashindwa kuelewa kwann migomba hapangwi