barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Ni moja bila, mimi naangalia sasa kipindi cha pili kinaanza.Wewe na kluger mnaangalia Screen tofauti Mkuu? Mbona mwenzako kasema jamaa wamepata Goli la pili dakika ya 37 na Wewe bado unang'ang'ania hilo hilo lako moja? Sasa hapa tumuamini nani?
Mkuu hapo sijui anaangalia screen gani au yuko uwanja gani. Half time. Matokea ubao unasomeka hivi;
Wewe na kluger mnaangalia Screen tofauti Mkuu? Mbona mwenzako kasema jamaa wamepata Goli la pili dakika ya 37 na Wewe bado unang'ang'ania hilo hilo lako moja? Sasa hapa tumuamini nani?
Moja bila.Kwani ubao wao wa Magoli hapo unasemaje kwa sasa Mkuu?
Huyo ww goli 2 atakuwa anafatilia mpira kupitia app ya futbol 24 uwa wanaweka updates zote so hata goli liikingia halali au Sio halali wanaleta notification then km likikataliwa wanalifuta
Wewe na kluger mnaangalia Screen tofauti Mkuu? Mbona mwenzako kasema jamaa wamepata Goli la pili dakika ya 37 na Wewe bado unang'ang'ania hilo hilo lako moja? Sasa hapa tumuamini nani?
Bado zingine Mtaa wa Pili tuanze kushangiliaKashakalishwa kimoja
Kujidhalilisha...jifunze kiswahili kwanzaVyura wameenda kujidharirisha tu, hawajui soka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utajua mwenyewe lakini yanga hamna kitu!! [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kujidhalilisha...jifunze kiswahili kwanza
Mi naangalia kupitia Azam Tv.Kwani ubao wao wa Magoli hapo unasemaje kwa sasa Mkuu?
madhara ya kucheza ukiwa umeahidiwa fedha endapo mtashinda ndo hayo.kuna haja kocha wa yanga kuwafundisha wachezaji wake wawe comfortable na mpira naona wakishika mpira wana tension sana