Kombe la Shirikisho: Welayta Ditcha 1 -0 Yanga SC, Yanga yasonga hatua inayofuta

Kombe la Shirikisho: Welayta Ditcha 1 -0 Yanga SC, Yanga yasonga hatua inayofuta

62' Welayta wanapata kona. Inapigwa kona, lakini golikipa Youthe anadaka bila wasiwasi..

Welayta Ditcha 1-0 Yanga
(Aggregate 1-2)
 
Chirwa anakwenda anapiga mpira na kuwa Goal Kick..

Suti lake linashindwa kulenga lango
 
65' Tshishimbi anakwenda kwenye benchi na nafasi yake inachukuliwa na Martin
 
Anachukua mchezaji jezi 13 na mpira unatoka nje.

Unarushwa upande wa magharibi mwa uwanja, Anachukua Shaibu Ninja, lakini unatolewa nje tena
 
Mpira huu hauvutii wala hautulii... Yanga akisonga hapa ni bahati
 
74' za mchezo katika kipindi cha pili, ambapo matokea bado moja bila

(Aggregate 1-2)
 
Chirwa anakwenda, lakini mpira unakuwa mwingi na kutoka nje.

Bado mashambulizi ni zamu kwa zamu
 
Anakwenda kupiga mchezaji wa Welayta Ditcha, anakotroo Shaibu anaangalia lakini mpira unakuwa mwingi na kutoka nje
 
chirwa sio classic player basi tu! wanam overrate ...amepata nafasi karibu tatu za kufunga ambazo kwa mtu anayeijua kazi yake ni clear chances
 
Kombe la Shirikisho barani Afrika

Welayta Ditcha 1-0 Yanga

(Aggregate 1-2)
 
Back
Top Bottom