Kombe la Shirikisho: Yanga SC yachapwa bao 1-0 na Rayon Sports, USM Alger na Rayon Sports zafuzu robo fainali

Kombe la Shirikisho: Yanga SC yachapwa bao 1-0 na Rayon Sports, USM Alger na Rayon Sports zafuzu robo fainali

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Yanga imechapwa bao 1-0 na Rayon Sports katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

USM Alger na Rayon Sports zimefuzu robo fainali ya michuano hiyo huku Yanga SC na Gormahia wakiondoshwa kwenye michuano hiyo.
IMG_20180829_175724_065.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiangalia vilabu vya nchi jirani zinavyofanya vizuri kwenye michuano mikubwa (Club bingwa na Shirikisho) huwa najisikia aibu kwa nn isiwe vilabu vyetu vya hapa nyumbani? Tatizo letu nn? Mpaka lini tutabaki kusifia wenzetu na mpira wanaocheza hawajapishana sana na sisi? Lini zamu yetu itafika?
 
CAF Champions League Grp A

Al Ahly na Esperance wamepita

Grp B: TP Mazembe na ES Setif wamepita

Grp C: Wydad Casablanca na Horoya AC wamepita

Grp D: Etoile du Sahel na Primeiro de Agosto wamepita

CAF Confederation Cup:

Raja Casablanca 6-0 Aduana Stars
 
Back
Top Bottom