Kombe pekee watakalobeba Yanga ni hilo la IST Cup

Kombe pekee watakalobeba Yanga ni hilo la IST Cup

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Nasikis paredi imeandaliwa kabisa baada ya kutwaa IST Cup. Wanayanga watatembea vifua mbereee kunadi hicho kikombe ambacho wakifanya mchezo hawanyanyui tena kwapa msimu huu.

Yanga bana. Waliyakejeli mashindano ya Kombe la Muungano kisa yalikuwa na timu 4 tu, wao wameenda kukenua meno na wanaandaa paredi kwa kuchukua kikombe baada ya kucheza mechi moja ya kirafiki.

Ni nani pia aliyewaroga Toyota waingie gharama kuandaa mashindano yale kukuza brand yao nchini wakati asilimia 90 ya magari nchi hii ni yao na wengi wanaagiza ya miaka 10 iliyopita na huko serikalini nadhani inaweza kuwa wanamiliki soko asilimia 100? Labda kama wameamua kurudisha kwa jamii au kama lengo hasa lilikuwa soko la South Africa.
 
Yanga wamepata shilingi ngapi kama bingwa
Bingwa wa muungano alipata shilingi ngapi?
 
Kazi yetu kutunza haya maandishi kwenye kabati... Baadae tutafuta vumbi na kuyaweka kama kumbikizi hapahapa JF
 
Nasikis paredi imeandaliwa kabisa baada ya kutwaa IST Cup. Wanayanga watatembea vifua mbereee kunadi hicho kikombe ambacho wakifanya mchezo hawanyanyui tena kwapa msimu huu.

Yanga bana. Waliyakejeli mashindano ya Kombe la Muungano kisa yalikuwa na timu 4 tu, wao wameenda kukenua meno na wanaandaa paredi kwa kuchukua kikombe baada ya kucheza mechi moja ya kirafiki.

Ni nani pia aliyewaroga Toyota waingie gharama kuandaa mashindano yale kukuza brand yao nchini wakati asilimia 90 ya magari nchi hii ni yao na wengi wanaagiza ya miaka 10 iliyopita na huko serikalini nadhani inaweza kuwa wanamiliki soko asilimia 100? Labda kama wameamua kurudisha kwa jamii au kama lengo hasa lilikuwa soko la South Africa.
Naomba Mfufua Nyuzi wetu Sheikh adriz uuweke huu uzi kwenye kumbukumbu zako za msimu huu. Naona huyu kijana ameamua kuirithi mikoba ya yule Mwasibu.
 
Mmenenepa sana kolo nyie trh nane sio mbali

Kazi yetu kutunza haya maandishi kwenye kabati... Baadae tufuta vumbi na kuyaweka kama kumbikizi hapahapa JF

Naomba Mfufua Nyuzi wetu Sheikh adriz uuweke huu uzi kwenye kumbukumbu zako za msimu huu. Naona huyu kijana ameamua kuirithi mikoba ya yule Mwasibu.
Msimu huu mkija nyanyua kwapa tena labda mkiamua kunyoa huo unywele au mkisalimu amri mbere ya porisiii
 
Nasikis paredi imeandaliwa kabisa baada ya kutwaa IST Cup. Wanayanga watatembea vifua mbereee kunadi hicho kikombe ambacho wakifanya mchezo hawanyanyui tena kwapa msimu huu.

Yanga bana. Waliyakejeli mashindano ya Kombe la Muungano kisa yalikuwa na timu 4 tu, wao wameenda kukenua meno na wanaandaa paredi kwa kuchukua kikombe baada ya kucheza mechi moja ya kirafiki.

Ni nani pia aliyewaroga Toyota waingie gharama kuandaa mashindano yale kukuza brand yao nchini wakati asilimia 90 ya magari nchi hii ni yao na wengi wanaagiza ya miaka 10 iliyopita na huko serikalini nadhani inaweza kuwa wanamiliki soko asilimia 100? Labda kama wameamua kurudisha kwa jamii au kama lengo hasa lilikuwa soko la South Africa.
Wewe hoja yako ni ipi mbona ueleweki? Unajiuliza swali na kujijibu mwenyewe, kikombe Cha Toyota nacho kinakufanya uwe na wivu? Wenzako wameweka kibindoni 250milioni wewe umebaki kuwa mpiga ramli Kama mganga wa kienyeji! Na nyie kabebeni kwenye maandalizi yenu ya kucheza na timu za daraja la 4 uko misri Kama mnaweza!
 
Msimu huu mkija nyanyua kwapa tena labda mkiamua kunyoa huo unywele au mkisalimu amri mbere ya porisiii
Unaongea hivi hata timu yako haujaijua inachezaje. Hakuna test yeyote ya maana timu yako imekutana nayo hadi sasa ila unafurahia utafikiri umeiona.
 
Nasikis paredi imeandaliwa kabisa baada ya kutwaa IST Cup. Wanayanga watatembea vifua mbereee kunadi hicho kikombe ambacho wakifanya mchezo hawanyanyui tena kwapa msimu huu.

Yanga bana. Waliyakejeli mashindano ya Kombe la Muungano kisa yalikuwa na timu 4 tu, wao wameenda kukenua meno na wanaandaa paredi kwa kuchukua kikombe baada ya kucheza mechi moja ya kirafiki.

Ni nani pia aliyewaroga Toyota waingie gharama kuandaa mashindano yale kukuza brand yao nchini wakati asilimia 90 ya magari nchi hii ni yao na wengi wanaagiza ya miaka 10 iliyopita na huko serikalini nadhani inaweza kuwa wanamiliki soko asilimia 100? Labda kama wameamua kurudisha kwa jamii au kama lengo hasa lilikuwa soko la South Africa.
Which ever the case including this cooked story yanga sc with well dedicated prayer has made a milestone
 
Back
Top Bottom