Nahisi Idea ya mshauri wa huyo kaka ilikuwa akisoma egm atalazimika kusoma arts degree programmes mfano accounts ambazo ajira zake ni za shida sana ukilinganisha na sayansi atayesoma engineering degree programmes. Kusoma education or whatever that wasn't in your mind ni matokeo tu baada ya kuangalia alternatives au kulazimishwa na mazingira mfano mikopo........,mdogo wangu pia(mtoto wa aunt) alishauriwa asome egm,nikaingilia kati na kulazimisha asome PCM,saivi yuko Ardhi anasoma engineering na heslb wanamsponsor of which could not be the case with EGM. Kama una pesa yako ya kujisomesha mpaka elimu ya juu na hautegemei kuajiriwa soma kozi yoyote uipendayo vinginevyo soma mazingira. ........